Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Punguza wenge Mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]Huu uzi ufutwe tu wanaochat ni wawili tu bora muende dm tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kwa mpira wajuzi performance yetu united hawawez ata ku match.Kesho united inabid tuwapige kipigo kizito
Tunamajeruhi ila form tuna keep form.Tuna majeruhi kibao ila pep tactic zinaenda kuwamaliza united
Nadhan wameona sura yake halisi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Uyu jamaa walimsifu wee kumbe ni kepa aliepakwa kiwi[emoji23][emoji23][emoji1787]View attachment 1669007
Lampand under pressure.Nadhan wameona sura yake halisi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Chelsea wamepigwa tu
Jamaa anajua kuhamasisha sana.Dias yupo makin sana
Vvd overrated
Najua wachezaji wapo na moraliGame on handView attachment 1669009
Hii game niliangalia kwa kujiaamin kabisa, Chelsea nilikuwa nawashangaa kisa wanasema tunakoronaLampand under pressure.
Yan nisingekuwa porin [emoji3][emoji3][emoji3]
Tuliwachezea kama tunacheza na burnley.
Hata nafasi hawakutengeneza.
Gundogan amepiga mpira mkubwa sana msimu huu.Najua wachezaji wapo na morali
Pep kufanya rotation yupo vzur
Key players hawapo but tunamantain
Aloo.Hii game niliangalia kwa kujiaamin kabisa, Chelsea nilikuwa nawashangaa kisa wanasema tunakorona
Pep ni kichwa [emoji16][emoji16][emoji3]
Wakat tunampiga gori moja satonSoton amenikosha sana janaView attachment 1669012