The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Kdb hayupo form ....

Walker anatumia nguvu nyingi ,anabutua tu daaa ....

Walker atoke aingie cancelo ..

Tukifungwa hii game basis EPL itakuwa inatuponyoka ....

HT 1-1
 
Dah maji ya shingo aisee... jamaa wametushika especially dk za mwisho hizi
 
Kdb hayupo form ....

Walker anatumia nguvu nyingi ,anabutua tu daaa ....

Walker atoke aingie cancelo ..

Tukifungwa hii game basis EPL itakuwa inatuponyoka ....

HT 1-1

Epl yetu mkuu, westham hawajawahi kuwa katk hii form since 1983 huko, so kwa leo jamaa wapo vizuri.. but hopefully tutashinda chief
 
Man City are unbeaten in their last 27 games in all competitions (W24 D3), the second longest such run in their history (28 games, Apr-Dec 2017). They have now also extended the longest ever winning run by a top-flight side in all comps to 20 matches. Astounding. [OptaJoe]
.
Our next 4 games:
[emoji536] Wolverhampton
[emoji536] Manchester United
[emoji536] Southampton
[emoji3575] Fulham
#MCFC [emoji838][emoji836]️[emoji471]
 
Sasa hilo litakataka ni la kuwazia?? Leo tunamkalisha zinabaki point tatu ..na tunajua kwa City hachomoki baada yapo tunaanza kufukuzana na City..
Mpite man u uje tuongee saivi piga story na Liverkuku.
 
Sasa hilo litakataka ni la kuwazia?? Leo tunamkalisha zinabaki point tatu ..na tunajua kwa City hachomoki baada yapo tunaanza kufukuzana na City..
Daaaaaaah we jamaa una moyo mgumu zaidi ya paka. Tukutane may
 
Kdb hayupo form ....

Walker anatumia nguvu nyingi ,anabutua tu daaa ....

Walker atoke aingie cancelo ..

Tukifungwa hii game basis EPL itakuwa inatuponyoka ....

HT 1-1
Hauna imani kabisa aisee!
Kama mashabiki wa Chelsea wanaamini watachukua ubingwa, wewe unashindwaje kuamini utachukua ubingwa?
Man City ametoka kwenye mawiki ya fixture ngumu sana, kipi kinakufanya uamini kuwa kama Man City angeshindwa kupata ushindi dhidi ya West Ham basi ubingwa wa EPL ungemponyoka?
 
Wengine wanafikiri kila siku unashinda mechi kwa performance nzuri kila siku
 
Nyie MAHAYAWANI ubingwa wa kwenu msimu huu. Anzeni tu kushangilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…