Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Wachezaji wengi etihad hawapewi nafasi yakutosha msimu wakwanzaUnajua torres naweza kusema alikuwa hapewi muda wa kutosha ,ila anaenda kuwa bonge la finisher ,..
Wacha nimwangalie euro naona kapewa nafasi ,akikiwasha huko atarudi huku kwenye leagu ameshakuwa goal machine...
[emoji3][emoji3] Ni kweli kabisa.Laporte wacha akagaini skills zaidi huko euro najua atarudi akiwa moto,na atakuwa na combination nzuri na dias in case stone kama akiwa flop ...
Kuhus ake mimi simlaumu sana ,ila ipo siku ataonesha uwezo na kuona umhimu wa usajiri wake ,hata kipind cha kana vicent kompany kina stone ,laporte hawakuonekana kabisa ....
Lakini naweza sema katika watu wanaoenda kutupa CL na PL ni stone na loprte mwenyewe ,hasa baada ya dias kuja ..
Baada ya aguero kuondoka aisee pep alete striker mwingine ,kama kane akija ni nzuri zaidi ...
Hii false nine am sure wapinzani watakuwa washamsoma pep ,yaani iwe full kubadilisha mfumo msimu ukianza ,jesusu hana consistency nzuri sana...!
This is our city
Tukipata world class striker sijui itakuwaje maana apa tuu moto wanaupatapataLaporte wacha akagaini skills zaidi huko euro najua atarudi akiwa moto,na atakuwa na combination nzuri na dias in case stone kama akiwa flop ...
Kuhus ake mimi simlaumu sana ,ila ipo siku ataonesha uwezo na kuona umhimu wa usajiri wake ,hata kipind cha kana vicent kompany kina stone ,laporte hawakuonekana kabisa ....
Lakini naweza sema katika watu wanaoenda kutupa CL na PL ni stone na loprte mwenyewe ,hasa baada ya dias kuja ..
Baada ya aguero kuondoka aisee pep alete striker mwingine ,kama kane akija ni nzuri zaidi ...
Hii false nine am sure wapinzani watakuwa washamsoma pep ,yaani iwe full kubadilisha mfumo msimu ukianza ,jesusu hana consistency nzuri sana...!
This is our city
Ngoja siku hiyo ndo utaelewa Kama unajua kumbe hujui