The Manchester City (The Citizens) | Special Thread



Damn it! Ndetchia amesha log off au anachungulia tu.. ....
khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
man shity mwaka huu watajuwa kuwa kuna mpira na pesa Maurino amesema pesa sio mpira na Arsenal wanasema kama unataka kucheza mpira uwanja upo kazi kwao man shity watausikia ubingwa


Damn it! Ndetchia amesha log off au anachungulia tu.. ....
khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Lescott hovyo sana yani daily linafungisha magoli sijui likoje ...hovyo kabisa
 
Maumivu ya kichwa huanza taratiib naona ile Fortless ya ETIHAD wameivunja Villa squad

Every City game will be a final..every team you'll face will make hard to death...next Match at CRAVEN COTTAGE against Home form FULHAM

You are a team to beat
 
City 2 - 4 A villa knocked out from league cup hii inaonesha wazi kabisa city haina kocha anaye weza kuwa na vikosi viwili kikombe cha kwanza hicho nje...
 
Mancin akifungwa hua anagombana na managers ili kubadilisha story tusiongelee jinsi team yenye talented players kama wao wana leak magoli kama hawana akili nzuri capital one imeondoka siwaoni kupita group stages za CL coz siwaoni kushinda away to ajax so wana FA cup na PL tu. asiposhinda kitu mwaka huu anaondoka pep guardiola atakua available next year and he knows that
 

ndio maana anazingua zingua tu hamna anacho fanya kabisa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…