Amefungua milango boraBernado yupo Moto !!!
Sterling miss more open chances so hata akienda sio mbaya ,though kafanya makubwa Sana ...
Sterling anapambania namba na grealish ,foden mahrez ,kupata muda wa kucheza Sana Kama anavotaka inakuwa ngumu
Siku zote anaezarauliwa ndiyo anayeibuka kidedea. Sisi shida yetu point tatu kila mechi hayo mengine yatajulikana mbele ya safari.Cc majogoo na nyie citizen mdio tunapambana kunyanyua kwapa. Wale ndezi maji united pumzi zishakata. Chelsea wao wanajaribu kurusha miguu soon nao watakuwa wasindikizaji.
Tatizo Chelsea lzm izaraulike na mahater [emoji23]Hivyohvyo tuliwaduwaza mahater uefa msimu uliopita ....walisubiri tufungwe na real Madrid na city lkn hao mpk tukabeba ndooSiku zote anaezarauliwa ndiyo anayeibuka kidedea. Sisi shida yetu point tatu kila mechi hayo mengine yatajulikana mbele ya safari.
Ninachokipendea Chelsea yangu ni kwamba they know to defend very well. Tofauti na timu ingine.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unataka kusema ,mnaenda kuchukua epl [emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo Chelsea lzm izaraulike na mahater [emoji23]Hivyohvyo tuliwaduwaza mahater uefa msimu uliopita ....walisubiri tufungwe na real Madrid na city lkn hao mpk tukabeba ndoo
Chelsea soon mnaenda kupotea kabla ya January tu mtakuwa mshapoteana...Siku zote anaezarauliwa ndiyo anayeibuka kidedea. Sisi shida yetu point tatu kila mechi hayo mengine yatajulikana mbele ya safari.
Ninachokipendea Chelsea yangu ni kwamba they know to defend very well. Tofauti na timu ingine.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Cjasema chochoteKwa hiyo unataka kusema ,mnaenda kuchukua epl [emoji23][emoji23][emoji23]
Mahater bado wapoo na wataendelea kuwepo,Chukua makombe yoteee tuu...Tatizo Chelsea lzm izaraulike na mahater [emoji23]Hivyohvyo tuliwaduwaza mahater uefa msimu uliopita ....walisubiri tufungwe na real Madrid na city lkn hao mpk tukabeba ndoo
Sawa liver kuku naona unapeana hopes na hawa Shitzen.Cc majogoo na nyie citizen mdio tunapambana kunyanyua kwapa. Wale ndezi maji united pumzi zishakata. Chelsea wao wanajaribu kurusha miguu soon nao watakuwa wasindikizaji.
Huyu mtoto balaa
African magician