KDB is back ..
Foden is back ...
Jack is back ....
This December kila baada ya siku tatu ni game ,and pep anaonesha yupo serious na kunakitu anataka kufanya this season ....
Tuna nafasi kubwa Sana ya kubeba epl kabisa this season .....
Chelsea majuruhi ya key players wao yanawasumbua nzuri zaidi Mendy na yeye ataondoka kwenda afcon [emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]...
Liverpool kuondoka kwa Salah na mane kwenda afcon ni advantage kwetu ...but itategemea fixture yao Kama itakuwa ngumu we have to take that advantage ........
This is our city