subiri na nyie mtapewa huo mchongo...kikubwa muweze kufunga tu ata hiyo penalty yenyewe mkuu.Penalty za Michongo
Acha hizo kiongozi EPL sio ligi ya tff ile!Tumestuka mmeshaanza kununua ushindi sasa
city hawakuw na tatizo ata kama lile tuta lisingefunikwa GOLI LINGEPATIKANA TU!...Amini hivyo maana si kwa kutafutwa kule ile ilikuwa one-side game ata kabla ya hilo tuta with #TotalDOMINATION, wee huoni kipa wao kasave ngapi apo.Yaani wewe mwenyewe unajificha nyuma ya VAR ila ndani ya moyo wako unajua ile sio PENALTY. au VAR ndio ilishika ule mpira?
Ahaaaa kumbe wewe kiazi wa huko kolomije ....[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]sawa sawaNimesema ile sio Penalty sasa unataka kubishana na mimi?
Mkuu achana nae huyu ana stress hajui hata mpira huyu .......city hawakuw na tatizo ata kama lile tuta lisingefunikwa GOLI LINGEPATIKANA TU!...Amini hivyo maana si kwa kutafutwa kule ile ilikuwa one-side game ata kabla ya hilo tuta with #TotalDOMINATION, wee huoni kipa wao kasave ngapi apo.
View attachment 2040715
Sasa wanateseka huko hatarii .....na hicho ndo kinachowaumiza fans wao maana walitegemea city atoe ata draw ili wakikamilisha match zao wamkute kama sio kumpita kabisa.
We are at the top of the table...!!Penchester city
Shame. unashangilia ushindi wa mchongo, ShameAhaaaa kumbe wewe kiazi wa huko kolomije ....[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]sawa sawa
Soma ubao sasa
Bosi. Mpira umeisha alafu unaniambia NIAMINI? Nani aliwazuia kufunga hilo/zo goli?city hawakuw na tatizo ata kama lile tuta lisingefunikwa GOLI LINGEPATIKANA TU!...Amini hivyo maana si kwa kutafutwa kule ile ilikuwa one-side game ata kabla ya hilo tuta with #TotalDOMINATION, wee huoni kipa wao kasave ngapi apo.
View attachment 2040715
ile ni handball kama huna hoja za msingi za kuongea kaa kwa kutulia ....sema sababu za msingi kwanini sio penalty ....hivi kumbe unaweza kuwa na timu nzuri lakini mashabiki wakawa hawajielewi?
We don't care as long as nabishana na empty headed mmoja ambaye hajui mpira [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Shame. unashangilia ushindi wa mchongo, Shame
well, kama umeangalia mpira, baada ya mpira maanalysts wamemuuliza lefa mstaafu juu ya hiyo penalty na jibu lake ni. NO.ile ni handball kama huna hoja za msingi za kuongea kaa kwa kutulia ....sema sababu za msingi kwanini sio penalty ....
Sio unakuja na mihemko yako "Mimi na sema sio penalty" unaonekana wewe ndio kilaza tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leta hoja kwanini sio penalty
EMPTY HEADED MAMA YAKO NA BABA YAKO which implies you are a VACUUM HEADED.We don't care as long as nabishana na empty headed mmoja ambaye hajui mpira [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mods huyu mtu kashindwa kujizuia ,mpigen banEMPTY HEADED MAMA YAKO NA BABA YAKO which implies you are a VACUUM HEADED.
EMPTY HEADED MAMA YAKO NA BABA YAKO which implies you are a VACUUM HEADED.We don't care as long as nabishana na empty headed mmoja ambaye hajui mpira
unaita mods wa nini. tukana tena....Mods huyu mtu kashindwa kujizuia ,mpigen ban
Mods huyu mwingine ananifokea Mimi ....We ni kenge sana, huwa unaanza kutusi wenzako ukiona umezidiwa unakimbilia polisi. Sasa unaita mods wa nn wakati we mwenyewe unatoa mitusi, acha unyasa we kolo.
Ukizidiwa tulia sio kuita hao vilandege wenzako, kenge ww.