Wewe ndo hujui Ila kiundani CL maters to Mansor and companyKama ni failure saizi tungekuwa nafasi ya saba huko tunaitafuta top ,usiwe mjinga ,kushindwa kuchukua CL ndio kufail ?
Sikuelewi kabisa unamaanisha Nini mzee [emoji28] ...CL sio kigezo kabisa
Mafanikio ya pep city ni zaidi ya hio CL unayosema ....!Wewe ndo hujui Ila kiundani CL maters to Mansor and company
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
[emoji1787] hizi dharau Sasa,duuh.Pep kavurugwa nini na El cholo[emoji28][emoji28]Kwa hiki kikosi mmmmmh[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2189743
Kwa hiki kikosi mmmmmh[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2189743
[emoji1787] hizi dharau Sasa,duuh.Pep kavurugwa nini na El cholo[emoji28][emoji28]
Hapa pep kashaona lolote liwe kaamua kuwaachia kina ake mzigo mbele ya Liverpool ambayo wameweka full mkokoYaani leo kwa hiki kikosi tukubali tu mapema hatuna chetu.
Pep muuni, technique zake TU.Ndo maana kina Kdb na kina Marhez wako benchi.Si kwamba nayeye aliamini Klopp atapumzisha Wachezaji kwasababu ya game na Man United?
Sidhani kama Klopp anaweza kupumzisha Mchezaji yoyote kwasababu ya EPL hii iliyopo anayoongoza Man City.
Naona anatazamia zaidi game ya R.MPep muuni, technique zake TU.Ndo maana kina Kdb na kina Marhez wako benchi.
Acha wapambane ila Klop yeye kaamua vita kabisaHapa pep kashaona lolote liwe kaamua kuwaachia kina ake mzigo mbele ya Liverpool ambayo wameweka full mkoko
Ila hii ni game lolote laweza tokea tusikate tamaa maana hata wao naona wanahofu na sisi pia
Kiufupi hakuna sub Wala Nini ,hii game wasipoimaliza wao itakuwa imeisha hivo .....Wala hii game inaonekana pep Hana mzuka nayo ....wacha Liverpool waende final ,wakutane na Chelsea .....maana chelsea anaweza kutoka hewa msimu huuGame imeisha hii! Kwa tabu na kupania ikiwa atawaingiza wachezaji wake wote basi itaishia 2 - 3
Tatu huko[emoji1787]Ila hii ni game lolote laweza tokea tusikate tamaa maana hata wao naona wanahofu na sisi pia
ππππKwa mawazo yangu sioni hata haja ya kufanya sub awaache tu hata wakipigwa 7.yaani huyu steffen huyu jinga sana likiwekwa benchi lawama kibao yaani leo nimelichukia sana