Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Si huyuhuyu alikuwa akikatiza kwenye majukwaa ya watu? Saivi kunamaisha nje ya mpira tena? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu ndio ukweliSasa Chelsea tunafanana nae? Yeye anazo 2 sisi je?
Yaan had Aston Villa hatufanan nae, city inatuumiza sana watu wake, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Bas sawaaa haya Relaaaaaax.Kwani Westham umemzidi nini kwa mfano?
Westham = 0 UCL [emoji41][emoji41]
Man City = 0 UCL [emoji23][emoji23]
Nyote ni mediocre tu underdog wa Ulaya [emoji13][emoji13][emoji13]
Inauma ila ndo hivyo tunavumilia tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Huu ndio ukweli
Wewe ndio unaukubali ukweli wengine wanakaza fuvu humu[emoji2]
Walker alikuwa hajarudi kwenye hali yake ,seems like alipigwa sindano za kutosha ili achezw hio game kwani kila mtu alitamani kumuona [emoji53]...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2213604
Lakin hamkujitapa mnakikosi kipana?Walker alikuwa hajarudi kwenye hali yake ,seems like alipigwa sindano za kutosha ili achezw hio game kwani kila mtu alitamani kumuona [emoji53]...
Alifanya kazi yeke vzuri pamoja na yote ..!!
Moja kati ya RB wenye nguvu na mbio city ,
We win together,we lose to together,get well soon. ..!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] UCL na EPL tunachukua, sindio mlitamba hivyo? Yaani mimi kama Shabiki wa Liverpool tusipo chukua UCL ila tutapambana ili tuchukue na hatuna majigambo kama nyinyi. Yaani huwa nafurahi Man city akiteseka [emoji23][emoji23][emoji23]Inauma ila ndo hivyo tunavumilia tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
Unautani na Pain killer sasa, huo ni utani wa ngumi.Alisikika Panyarodi: Real Madrid tunamfunga mapema sana, kwanza haiwezi Pressing yetu, Buildup yetu itamshinda, Man City anacheza Possession football ambayo haitampa nafasi Real.
Benzema: Oya muhudumu nipe Mkuyati bakuli moja, Kongoro bakuli mbili, weka na Vikombe Vitatu vya Alkasusu, nimegee na Vumbi la Kongo la Buku nipe na Vaselline ya Buku Jero halafu leta Taulo 2 na Mito miwili Jumba namba 6 [emoji23][emoji23][emoji23]
Hamjawahi kuingia final mbili mfululizo ni Moja tu na mkapigwa na hii ni "nusu fainali" yenu ya tatu tangu Shekh anainunue hii timu.We nae khaaah, tumefika final mara 2 mfululizo, now tumeishia semi ndo hatuwezi?
Hatuna bahati na UEFA. Nwei mkapambane nyie wenzetu mnaojifanya mnaweza sana.
Tunawahitaji haters wengi kama nyie karibuni Sana [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] UCL na EPL tunachukua, sindio mlitamba hivyo? Yaani mimi kama Shabiki wa Liverpool tusipo chukua UCL ila tutapambana ili tuchukue na hatuna majigambo kama nyinyi. Yaani huwa nafurahi Man city akiteseka [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukisema haiwezi UEFA ni kama unamdharau Pep[Anazo mbili] sema ameshindwa kuipa Man City UEFA Kama ilivyotazamiwa hapo awali Kama ambavyo alishindwa kuipa Bayern Munich.Mpaka hapa pep kashafeli ,uefa haiwezi kabisa
Lazima tucheze final nyingi Sana ili tuwin CL 1 ,Mimi binafsi nashangaa watu wanavosikitika kama wanataka kujiua kisa semi final kutolewa ,moment kama hzi kwenye football Tena zaidi ya hizi zinapitiwa Sana na club kubwa zote dunian ...Hamjawahi kuingia final mbili mfululizo ni Moja tu na mkapigwa na hii ni "nusu fainali" yenu ya tatu tangu Shekh anainunue hii timu.