Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Dogo huwa ako na bidii sana uwanjani aisee.Zin bado yupo USA kwenye Kambi ,pamoja na rumors zote za kwenda arsenal...pep angemuacha tu ZINNView attachment 2296601
Sema ndo hivyo kashauzwa ila naona bora angeenda kwa mkopo ingekuwa vizuriDogo huwa ako na bidii sana uwanjani aisee.
Kweli au miyeyushoNeymar anakuja City aisee
Season ijayo itakuwa noma ni mwendo wa 6,7,8[emoji298]View attachment 2296434
Neymar wamereject offer yake ,japo walitaka kutuuzia ...inaonekan pep kaona hawezi kufaa kwenye mfumo wake ....Neymar anakuja City aisee
Neymar ashaisha huyoNeymar wamereject offer yake ,japo walitaka kutuuzia ...inaonekan pep kaona hawezi kufaa kwenye mfumo wake ....
Pep hapendi uungu mtu ,ndio maana Hana proper starting XI huwezi kuijua ....
Saizi kauza sterling ,Jesus ,na zincheko Wala hahofii kitu Kwan tayari anamfumo ..
Hakuna mwaka ambao uliniuma Kama kumuacha sane aende buyern ,aguero kuondoka Barcelona lakin huwezi amini ni Kama hakuna kitu kilichotokea ...moto uliendelea vile vile ..
Kwa hiyo Neymar kuja city aliona ataleta u Mungu mtu ,kutaka kuwa juu zaidi ya club kitu ambacho pep asingeweza kukubali ...
Kama ni mawinger tunao wengi sana ...
Ndo ukweli ulivyo jamaa niwazuri na hii ndo itatupa picha halisi ya game yetu ya ufunguzi na kuku wa klop.MATCH DAY ..
Man city VS club America
Muda saa 03:30 usiku
Hii game si ya kukosa ,club America sio mchezo ,niliangalia game yao na Chelsea,Chelsea walihaso kupata matokeo na isingekuwa individual skills za mount wangetoka draw ,wanakabia juu na wapo solid kweli kweli ...
Atacheza against buyern jumamosi ,hajucheza ..vipi Haaland ajacheza