The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Japo mimi siipendi city, ila kocha kazingua pakubwa kupanga kikosi.
Ake, Jack Pemba, Halland na Mahrez hawakutakiwa kucheza mechi ya kiume kama hii, badala yake angeanza na Stones, Phoden, Gundogun na Rodri.
Alitakiwa safu ya mbele kuwe na Silva, KDB, Phoden.
Kati weka Gundo, Rodri na Kelvin.
Nyuma weka Stones badala ya Bob Marley Ake.
Hapa ushindani ungeongezeka kuliko alivyochagua kuchezesha miguu ya kushoto kibao na Jack mcheza na jukwaa pekee huku madhara yake ni zero.
 
Mkuu Mimi kwa kweli nikimuona ake kwenye game ngumu Kama hizi napata hasira kichizi ,kwa sababu jamaa sio solid defence,makosa yake kwanza ni mfupi ,harafu Hana timing nzuri .....

Stone alifaa kuanza hii game ...

Kitu kingine grealish hakutakiwa kuanza ,hizi game alifaa foden ...

Kdb hakuwa kwenye form Leo so kumtoa ilikuwa poa ...

Haaland angetoka HT...

Kumchezesha Alvarez na halaand ni kusababisha mid kupwaya ,katikakti Liverpool wametumenya kisawasawa ....

Any way yameshapita tusubili game ya jumapili na westham kuanza league ....

But hii ni warning kuwa timu Haina muunganiko mzuri na league ikianza tunaweza kuchezea kipigo ....
 
Sielewi cjui shida ni mfumoo.?!!
Mkuu kuchezesha haaland na Alvarez na matatizi ,hapa pep kazingua , katikati tulikuwa hovyo ,rodri ,gundo walipwaya wote ...

Na movement za kwenye box hazikuwa na madhara kabisa ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…