Tutaoneshana makali taratibu tu 🤣🤣🤣Newcastle wapo vzuri ,tukijutahid sana labda draw ,ila hatuna beki kabisa ....
Bora ake .....
Nye nye nyee!!😆😆Tafuta timu nyingine ya kutusumbua ila Hawa nyukesito tunaenda kuwapiga goli 5 ....na clean sheet juuu
Droo ya kabati utapataNewcastle wapo vzuri ,tukijutahid sana labda draw ,ila hatuna beki kabisa ....
Bora ake .....
Sio karanga wabichi tu wanakula na mihogo wabichi wakitafuna na nazi wabichi yaani wapo full charge.Newcastle United wanakula karanga mbichi
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Man shit leo hakuna cha droo, vijana wa Newcastle wamepania kuwashikisha ukuta na lazima muushike.Newcastle wapo vzuri ,tukijutahid sana labda draw ,ila hatuna beki kabisa ....
Bora ake .....
Arsenal tuna plan ya kushinda game 32 na sare sita. Pts 102.Msimu huu nina uhakika hakuna timu itakayomaliza ligi na point 80+
Msimu huu naona arsenal tutakuwa hatuna mpinzani kwenye ubingwa.Newcastle wapo vzuri ,tukijutahid sana labda draw ,ila hatuna beki kabisa ....
Bora ake .....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo games 32 labda za kwenye play station.Arsenal tuna plan ya kushinda game 32 na sare sita. Pts 102.
Msimu huu mtashangazwa wote mnaotegemea tutayumba.🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo games 32 labda za kwenye play station.
Nyie baada ya mechi mbili zinazofata mnaanza kuchezea kichapo cha mfululizo.