Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Kawaulize hao nyumbu Mara ya mwisho kutufunga kocha wao alikuwa Nan[emoji23][emoji23]Nyie vibonde wa nyumbu na Leo mpakatwe tena bin waheeed nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo mkuu...nyumbu game kubwa huwa wanatabia ya kukaza sana maana wew jiulize kwa ule moto wa arsenal aliompelekea Spurz jana United kawafunga vip?....View attachment 2374577
I feel it coming
Yeah mechi ni ngumu ila siioni nafasi ya united Leo....cha muhimu ni kuwaheshimu tu na kushambulia kwa nidhamu tusiache mapengo nyuma...Tatizo mkuu...nyumbu game kubwa huwa wanatabia ya kukaza sana maana wew jiulize kwa ule moto wa arsenal aliompelekea Spurz jana United kawafunga vip?....
so tusijiamini sana kikubwa pep awajenge vijana vizur kisaikolojia then wafanye kazi yao.
Hhh!...unataka kusem Mshafungwa tayar ama?...Timu zozote ndogo lazima zifurahie kufunga timu kubwa.
Mido ya gundo ,kdb na bernando sio mbaya ....Rodri out dah
Mmeshaanza kuliaa kabla hata game haijaanza..Mido ya gundo ,kdb na bernando sio mbaya ....
Ujinga ni kwa grealish aisee ,wakati Mahrez yupo ....