The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mimi nilijua tu , Liverpool hatuwezi kumfunga fuatilia post zangu juu


Huwa nashangaa media zinavotu overrate mpaka nahisi wanawapoteza maboya kwenye kubet
 
Daah liva wametukaangà
Mkuu itakuwa wewe ni mgeni kufuatilia game za city ....


ila Mimi nilishasema pep hamuwezi klop never .....

Hata mwaka jana tungemfunga Madrid tukakutana na Liverpool final basi Liverpool walikuwa wanachukua kombe mapema ....nilisema Bora tumetoka mapema ..

Pep kwa klopp amekuwa Hana ujanja Tena ....Kama game ni seriously
 
Klopp alikuwa hataki utani hadi na yeye kalimwa red card
 
Tatizo ni lile lile hatuna fighting spirit kwenye must win game ....

Nitakuwa wamwisho kuamin kuwa pep anaweza kutupa CL ....

Wacha tu atuongezee makombe ya PL ila kuhusu CL lazima uwe na killing machine & spirit ..

Liverpool ambayo imepigwa na arsenal goli 3 ,napol kajipigia goli 4 tumeshindwa kupata hata goli moja ...

Harafu next time mapundit unakuta wanaipa favorite Tena city kuwin CL, aiseeee
 

Pole sana. Mpira ni karata. Liver wamechanga karata vyema, akaingia uwanjani kama underdog kwani hakupewa nafasi yoyote ya kushinda. Ninyi mlilewa sifa baada ya kupewa nafasi kubwa ya kushinda.

Juzi nilisema liver anaenda kuwafunga lakini mlinitukana na kunibeza.

Chelsea forever. Always blue[emoji485]
 
Mkuu this time hata EPL hamlambi , kuna wahuni wengi akina konte pale wazee wa kunyapia pia , nakuhakikishia kabla ya December watakuwa wamemvunja mguu halaand 😁😁😁😁😁
 
Favorite za kijinga tu ,game nne zote hatujawahi kumfunga Liverpool bado et watu na booking wa kwenye betting wanamuamin city,Mambo mengine naona Kama ni mind game kuwala watu .....Mimi nishaangalia game nying za Liverpool na sis ,huwa hatujawahi kumumiliki kisawa sawa mpaka awe underdog tukikutana [emoji23]

Any way next game vs Brighton ....
 
Mkuu this time hata EPL hamlambi , kuna wahuni wengi akina konte pale wazee wa kunyapia pia , nakuhakikishia kabla ya December watakuwa wamemvunja mguu halaand [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hiyo Mimi hainisumbui mzee ,timu yenye ushindan kwetu ni Liverpool,hao kina Chelsea ,man u ,arsenal huwa tukichanga karata zetu tunawapaga kipigo nje ndani na kuondoka na point 6 safii kabisa ....
 
Mbwembwe zote kumbe unatuogopa


Sisi ndo Liver [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mnyama mkali
 
Kwa Messi kaongea UKWELI,
Hata Barca iwe mbovu, Messi anafunga tu
 
Wewe Leo ndo unaonekana..Siku zote timu lako linakandwa huko umejificha mashimoni. Leo kipofu kaona mwezi ndo unaibuka.....jiandae kurudi tena mashimoni
Tulieni dawa iingie

Sisi ndio Liver 🔥🔥🔥
 

Attachments

  • JamiiForums-843861516_310x388.jpeg
    29.4 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…