The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

sasa Lara 1 mbona umekatisha utamu unaanza wewe unasima, mimi nitachangia ukimliza yote
 
Detective unaonaje tukiunganisha nguvu pamoja?
Maana na mimi ni mwenzio kama hujui..lol

LOL..

Karibu detective.. Mpaka hapo naona wewe tayari utakuwa na majina kadhaa kichwani..
 
Watu wana kazi humu duniani.Kwa iyo mwanaume unakaa unapanga mikakati kabisa leo nikamgegede huyu kesho yule, huyu nitumie mbinu hii na huyu hii.
Hiyo siku ya shanga angevunjika mguu ndo ingekua kumbukumbu nzuri maishani.
 
Huyo hata sina mazoea nae namuanzia wapi? Bora huyu home boy japo naye kuna siku tunakuwaga hatuivani kabisa.

Ok poa. Mkimpata huyo mtuhumiwa anaowavalisha wanaume shanga mpaka wanaishia kufungua turbo mniPM tafadhali,Over..
 
LOL..

Karibu detective.. Mpaka hapo naona wewe tayari utakuwa na majina kadhaa kichwani..

Sijaambulia hata jina moja!Vipi wewe mwenzangu maana mimi mgeni kidogo humu.
Ndio tuianze kazi kimyakimya sasa..
 
Ok poa. Mkimpata huyo mtuhumiwa anaowavalisha wanaume shanga mpaka wanaishia kufungua turbo mniPM tafadhali,Over..

Usijali ila na wewe sio ukae kizembe tu ukisubiria ripoti nawe ujishungulishe kidogo.
 
hahaha nguvu kazi.. Mpwa Pdidy itakuwa ndie alikuwa anamlingishia silent killer picha alizotumiwa wasapu

Mpwa Pdidy kakomaa na kudesa mikeka ya wahindi, hivi Shy land yuko wapi, simwoni hata kule kilingeni.

Mkuu duniani wawili wawili, umeshapata mtu wa kuunganishwa naye nguvu, maisha kusaidiana mkuu.
 
Sijaambulia hata jina moja!Vipi wewe mwenzangu maana mimi mgeni kidogo humu.
Ndio tuianze kazi kimyakimya sasa..

Hapo kwenye red usifikiri jamaa kashamaliza mission yake LOL..

Mimi nishawapata kadhaa.. nitajiridhisha kadri story itakavyoendelea..

Hint: Exclude hao wote waliotajwa, Exclude member wote ambao join date ni 2014, 2015..

Then anza kudeal na 2011 na 2012 hapo ndio utawakuta wengi ambao ni maarufu humu.. Sasa katika hao wengi, watoe hao waliotajwa kwenye uzi. Ndio utawapata wachache ambao sasa ukisoma michango yao humu, utaweza kuwahisi.. That is the first step..
 
Mpwa Pdidy kakomaa na kudesa mikeka ya wahindi, hivi Shy land yuko wapi, simwoni hata kule kilingeni.

Mkuu duniani wawili wawili, umeshapata mtu wa kuunganishwa naye nguvu, maisha kusaidiana mkuu.

hahahaha Mpwa kazi ya lindo kashaacha anakomaa na wahindi.. Wasije wakamfilisi tu, na mimi narudi tena kule.
Shy land naona yuko kwenye palizi la pamba.. Alafu watu wanamu'underestimate sana huyu Shy land anaweza ndio akawa Silent Killer mwenyewe maana ana ID za kumwaga alafu zote zinaishia na Land
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…