Nimtajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapa 1,2,3, agaaaah naombeni pesa hapa namlipua daka 0 nyingi
jamani na mie mniambie bas niko empty head!!!!
Za siku nyingi..
Duh! Huu uzi nitausoma post ya kwanza hadi mwisho then niseme yangu
Here we go...
My dear friend,hakuna anayenijua JF hii zaidi ya my Mdakuzi! Huyu pekee ndiye anayenijua in and out!
Kwahiyo hapa niko kutafuta umbea tu maana kama ni viunzi nishaviruka sana huko PM!
Hahahahhaha...upo kwenye watchlist!
Hahaha huyu jamaa kamzidi hadi 'birthday boy!' hahahahahahaha
Hahaha babu stori ni 100% true ila kuna chumvi na kuna kubadilisha maeneo, matukio ili kuepusha kufahamika na wengi...
Hey Hey geniveros, there are gentlemen here...let no this one nigga tarnish all the men in here!
We jishaue tu, nitakutaja wewe kisiasa tu.
Detective unaonaje tukiunganisha nguvu pamoja?
Maana na mimi ni mwenzio kama hujui..lol
Unaweza kuta huyu ndio mdakuzi mwenyewe sasa! Teh teh (kidding)
Hahahahaaaaaaaaa! MSHAANZA KUHISIANA SAHUI YENU! Mi nimeuliza WHO THE https://jamii.app/JFUserGuide IS HE? Mwenyewe sijui.:lol:
hahahaha And what if the maker is here trolling us.. teh teh unabahati Join Date : 14th October 2008 lakini pia ukasema hivi..
Join date inaweza ikawa umepotoshwa sio hahahaha.. I'm pretty sure the doer is someone closer to you au wewe ndio wale mlikuwa mkichuana kwa kutumiana picha LOL
Mbona unajihami Mafikizolo, halafu umeadimika haka kauzi ndio kamekukurupusha.
Huyo hata sina mazoea nae namuanzia wapi? Bora huyu home boy japo naye kuna siku tunakuwaga hatuivani kabisa.
Khaaah wewe mtoto basi tu yaani
hahahahahaha..
Yani mpaka sasa hujapata lolote.. aaahh wacha wewe
Kweli nimeamini wewe udaku uko damuni, cjawahi kukuona huku ila leo hubanduki!!