TUPACified
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,367
- 604
A true silent killer never draw attention to himself, and you'll never know when they're moving, utakuta tu manyoya kama una bahati na unahusika kwa namna moja ama nyingine.
So huyu hastahili kuwa labeled Silent Killer, alitaka tu attention na anaipata so far.
Huyu boya anatuaribia mingo zetu wengine sasa..
Tukizama huko PM tutakuwa hatuaminiwi tena..
My dear friend,hakuna anayenijua JF hii zaidi ya my Mdakuzi! Huyu pekee ndiye anayenijua in and out!
Kwahiyo hapa niko kutafuta umbea tu maana kama ni viunzi nishaviruka sana huko PM!
Umekosea ni maihaya mae
Embu funguka zaidi haswa hapo kwenye PM. Kwi kwi kwi.
kumbe utaratibu unaukumbuka basi fanya makeke fastaSi natakiwa niambatanishe na M-PESA?
best nnakula wakianza nshtue
Kwa hiyo mtu akikuPM ina maana anaomba mechi? Jamani kwani humu MMU hamna urafiki wa kawaida?
mai ni bibi.. mae ni mama we mmakonde nakichaga wapi na wapiUmekosea ni mai
Hahahaa hakuna bhana kama una kaahsante Airtel tuu na cash lazima un'goe.
Pesa mbele kama tai sio...
Nilivyomsoma lara vizuri ina maana hao ambao wako mentioned kwenye uzi wake ndio wachache kati ya waliopona.. Maana kama wangetajwa kwenye hiyo autobiography ya mchizi asingewarudia hapo..
Ngoja detective niingie kazini mpaka story inaisha nitakuwa nishawajua wahusika wote..
mmmmhhhhhh wanawake sie!