Mtoa mkono ndiye alikosea, manake huwezi kuupeleka mkono kwa mtu ilhali hayupo aware kabisa. Alichotakiwa kufanya hapo ni kumgonga/kumgusa kwanza Obama mgongoni au kumshika bega au kumwita kwanza ili kumwandaa na zoezi zima la utoaji mkono kabla ya kutoa mkono. Hii ingesaidia kuondokana na aibu aliyoipata.
Ni mtazamo wangu tu.
Ndugu!
Are you really a great thinker pamoja na mtoa mada? Kama mnakumbuka wakati wa presidential campaign the Mafia Boss in the name of Silvio Berlusconi alimtukana Baraka Obama kwa kusema his skin is a bit fairer au kwa kiswahili cha bongo mkorogo wake ulikuwa mzuri. That was a direct insult na baadae alikurupuka na kusema alikuwa anatania.
Kama aliimpa mkono na hakupokea ilikuwa ni out of protocol au tuseme kwa kuwa Obama anayo damu ya kijaluo aliamua kumpiga tu buti !! I am not sure lakini kwa sababu hajaenda kule white house kuomba radhi kiungwana but the bottom line ni kwamba Silvio ni mbaguzi sio wa rangi tu but in totality!!!
Nawashauri muwe mnasoma na kuangalia news kwa mapana sijashangaa and keep your memories tuned!
Ndugu!
Are you really a great thinker pamoja na mtoa mada? Kama mnakumbuka wakati wa presidential campaign the Mafia Boss in the name of Silvio Berlusconi alimtukana Baraka Obama kwa kusema his skin is a bit fairer au kwa kiswahili cha bongo mkorogo wake ulikuwa mzuri. That was a direct insult na baadae alikurupuka na kusema alikuwa anatania.
Kama aliimpa mkono na hakupokea ilikuwa ni out of protocol au tuseme kwa kuwa Obama anayo damu ya kijaluo aliamua kumpiga tu buti !! I am not sure lakini kwa sababu hajaenda kule white house kuomba radhi kiungwana but the bottom line ni kwamba Silvio ni mbaguzi sio wa rangi tu but in totality!!!
Nawashauri muwe mnasoma na kuangalia news kwa mapana sijashangaa and keep your memories tuned!
The moment Obama ignores Berlusconis handshake at G8 summit CCTV-International
Berlusconi offered his hand to Barack Obama,
only for the U.S. President to carry on walking
Wadau hebu tuijadili hii!!Hivi kweli aliuona mkono wa KiongozI mwenzake aka-"utandazia" tu au hakuuona???Maana napatwa na mshangao kidogo.Au Obama amelipiza alivyofanyiwa Bush kule Washington??