Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Tuko.co.ke..You're now becoming desperate...Once again, dar es salaam knocks nairobi down very hard...even adis ababa is more beautiful than nai-slums
Tuko.co.ke..You're now becoming desperate...
Hahahaha, hahahaha. Wakenya msikubali hii; Tuko.co.ke. kwasababu hii sio source ya kuaminika, ila Twaweza wanapotoa data zao, ninyi mbazitumia kuishambulia Tanzania. Wanafiki wakubwa ninyi.Tuko.co.ke..You're now becoming desperate...
Once again, dar es salaam knocks nairobi down very hard...even adis ababa is more beautiful than nai-slums
Now that you've learnt how to post pics we won't breathe. They should have shown you how to post full images too.Once again, dar es salaam knocks nairobi down very hard...even adis ababa is more beautiful than nai-slums
Wakenya bwana wanataka kusema jiji kubwa la dar ni slum tena wanadhani dar ni ndogo kama Naii sasa chekini picha ya ndege na majengo yalivyo na hapo ni chini ya robo ya dar tena wilaya moja tu kati ya 3Now that you've learnt how to post pics we won't breathe. They should have shown you how to post full images too.
Congrats..
Now that you've learnt how to post pics we won't breathe. They should have shown you how to post full images too.
Congrats..
Wakenya bwana wanataka kusema jiji kubwa la dar ni slum tena wanadhani dar ni ndogo kama Naii sasa chekini picha ya ndege na majengo yalivyo na hapo ni chini ya robo ya dar tena wilaya moja tu kati ya 3
Sent using Jamii Forums mobile app
learning is the part of my life,i will learn new things till i die..Now that you've learnt how to post pics we won't breathe. They should have shown you how to post full images too.
Congrats..
sawa msalimie jiraniEast Africa hakuna mji kama dar nilisoma short course na Mkenya pale DMI akawa ana shangaa dar ilivyo nzuri kupita Nairobi watu wamechangamkaa ukarimu alitamani course isi ishe azidi kubaki dar..
Usipanic nugu tuko.co.ke ni web ya kenya wao wame-rank
That's a very questionable source of these rankings.Na pia Dar imeizidi Nairobi kwa population pekee wala sio ukubwa wa majengo.Actually 70% of Dar ni slums tu .Wakenya bwana wanataka kusema jiji kubwa la dar ni slum tena wanadhani dar ni ndogo kama Naii sasa chekini picha ya ndege na majengo yalivyo na hapo ni chini ya robo ya dar tena wilaya moja tu kati ya 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Bibie za cku?Now that you've learnt how to post pics we won't breathe. They should have shown you how to post full images too.
Congrats..
Wakenya wanashangaa vipi dar ilikuwa kama Burundi tena hata jiji la uganda kampa..lilikuwa limeishinda dar miaka ya 90 ila Kwa muda mfupi tu tumeipita Nairobi kama imesimama vileThat's a very questionable source of these rankings.Na pia Dar imeizidi Nairobi kwa population pekee wala sio ukubwa wa majengo.Actually 70% of Dar ni slums tu .