The Most CORRUPT and GREED Persons in Tanzania

lakjini fisadi mkubwa kuliko wote ni WATANZANIA ambao; wanawachagua mafisadi, wanawavumilia mafisadi, wanawatetea mafisadi, wanawakumbatia mafisadi... yaani wanafanya kila kitu kuhakikisha mafisadi wanaendelea na ufisadi wao
 
1. Freeman Mbowe huyu kila mtu anafaham
2. Makamba
3. Mnyika (Habari zilidai alipokea rushwa kubwa wakati wa uchaguzi na akawauza wananchi wa ubungo)
4. Wahindi wote Tanzania
 
Kwa kweli kwa mtizamo wangu Benjamini.W.Mkapa atakuwa No.1;kwasababu mikataba yote ya kutia nchi hii umaskini makusudi ili saini katika kipindi ambacho yeye alikuwa madarakani.

Ndiyo maana kama utakumbuka Mchungaji Mtikila aliwekwa ndani baada ya kusema B.W.Mkapa siyo mtanzania ni raia wa Msumbiji kwa kigezo kwamba,mtu gani ambaye hana uchungu na nchi yake?

Vilevile, tax holiday ilitolewa kipindi chake tena mbaya zaidi ili kuwa inawagusa sana wawekezaji wa kigeni. Na ndiyo maana huyu jamaa alikuwa anakubalika sana na mataifa ya kigeni kwasababu ya kuwa miteremko ya kijinga ambayo hata wao katika nchi zao hawadhubutu kufanya kitu kama hicho.

Ukianzia madini,hospitality industry, na ubinafsishaji isikuwa na manufaa kwa nchi, dah we acha tu maanake ni kikumbuka mambo yalivyo na hasira tu.
 
Wanasema taja fisadi mmoja na sio orodha; vinginevyo mafisadi bongo wako wengi sana na orodha ni ndefu.

Walikuwepo wliokuwa mbele siku za nyuma wakitumia nyadhifa zao kujinufaisha binafsi, kwa sasa hawako juu baada ya kutoka kwenye nafasi hizo na wapo wengine wapya. Lakini kuna wale wanaorithiwa kutoka awamu moja hadi nyiongine na hawashibi utafikiri matumbo yao yana viwavi-jeshi!

1. Andrea Chenge
 
Wakuu, huyu mtu ni nani, na ana influence gani kwa wanasiasa?
nimekutana na docs zikimtaja taja sana,
 
Kwa jibu jepesi google "Maria Kejo jamiiforums" au "Maria Kejo EPA" halafu soma sana selection utakazopata.

Alijadiliwa sana miaka ya 2007, 2008 na 2009.

Napita tu.
 
Kwa jibu jepesi google "Maria Kejo jamiiforums" au "Maria Kejo EPA" halafu soma sana selection utakazopata.

Alijadiliwa sana miaka ya 2007, 2008 na 2009.

Napita tu.
nimejaribu ku google mkuu lakini naona katika hizo post anatajwa tu pia, sijaona yenye details zaidi kuhusu jina hili
 
Rithwan Kikwete
 

Jamani huyu baba si alikuwa na Daniel Yonah?
 
No wonder form four wanafeli. Some people don't understand the meaning of just one person!
 
lakjini fisadi mkubwa kuliko wote ni WATANZANIA ambao; wanawachagua mafisadi, wanawavumilia mafisadi, wanawatetea mafisadi, wanawakumbatia mafisadi... yaani wanafanya kila kitu kuhakikisha mafisadi wanaendelea na ufisadi wao

Mkuu upo sawa ongeza na wote wanaohusika na CCM
 
Wote walio na watakaoshiriki kutaja majina kwnye huu uzi pia ni mafisadi wa wakati (time).
 
ali hasan mwinyi,jakaya kikwete,ben mkapa,lowasa,sumaye,rostam,chenge,and all ministers,ccm mps,and all government officials.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…