The New Tanzania "SHADOW CABINET"

Steve Dii

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2007
Posts
6,402
Reaction score
1,273
Source link: IppMedia.

SteveD.
 
Hapa naona wameamua kumweka Zitto miundombinu ili akapambane na Chenge na hapo patawaka mioto bila shaka.

Nawatakia kila la kheri na naamini kuwa wataendelea kutoa changamoto kwa ajili ya ujenzi wa taifa hili.
 
Hapa naona wameamua kumweka Zitto miundombinu ili akapambane na Chenge na hapo patawaka mioto bila shaka.

Nawatakia kila la kheri na naamini kuwa wataendelea kutoa changamoto kwa ajili ya ujenzi wa taifa hili.


Fedha kapewa nani? Pale nako kuna issue nzito pale .Huyu jamaa sijui Makullo huyo anapashwa kukabwa koo all the time
 
Lunyungu.Fedha yupo Hamad Rashid.nafikiri yeye alishafanya kazi wizara ya fedha...kama kuna comments zozote Zitto anaweza kutuambia..
Sina Hakika kama Hawa mawaziri vivuli wanalipwa posho au ni sehem tu utamaduni wa kuwa na Vivuli...
Kwa maoni yangu ni kuwa LETS WORK as a TEAM...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…