The New York Times: Mfumo wa uchaguzi wa Kenya ni bora duniani

The New York Times: Mfumo wa uchaguzi wa Kenya ni bora duniani

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Bongo ndio maana anaweza simana Waziri na kusema Raia ndio walitaka Tozo na raia kweli wamepiga kimya, maelezo ya Mwigiru kwamba ni rao ndio wametaka tozo yangetoleaa hapo Kenya kwa sasa kusingekuwa kuna kalila. Hii nchi niseme tulirogwa na raia tu mazezeta kupindukia, uzezeta wetu hauna mshindani duniani.

Ndiyo maana wanasimama wakina Nape wanatoa kebehi na maisha yanaendelea kama hakuna kitu, anasimama Waziri anatoa kebehi kwa raia na maisha yanaendelea.

Mwiguru jana ni kama kebehi kwamba raia ndio walitaka tozo na kweli imepota hio make raia wako kimya maana yake ni kweli.

Screenshot_20220902_220425_com.twitter.android.jpg
 
Hii nchi niseme tulirogwa na raia tu mazezeta kupindukia, uzezeta wetu hauna mshindani duniani.
katika evolutionary tree, sisi tuko mwisho kushoto. Mtanzania yuko hapo mwisho kushoto, walio wengi hasa kule kwa lumpen proletariat ukiondoa watu kama Lisu, Mbowe na wengine wachache

1662169189219.png
 
Tena kwa katiba iliyoandikwa na wakenya wenyewe, sio urithi kutoka kwa 'mabeberu'. Daima mimi mkenya. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
 
Back
Top Bottom