Hamad yusuph
Member
- Mar 21, 2024
- 45
- 33
Pengine atakua kaambiwa na majirani wa kijiji hichi.. akijisema maneno hayo justin
Orenda,”sawa kijana wangu ukiwa na uhitaji wowote usi sisite kuniambia
Justin.
Sawa mzee wangu una una itwa nani vile jina lako samahani lakini
Orenda
“ORENDA BENANDRI COSMAS”,usijali namba yangu hiyo ukiwa na uhitaji wa neno la mung nipigie kijana
Baada ya mazungumzo kuishaa justin alienda kwa mzee soni maana hapo ndo anapo ishi kwasasa kutokana na ajiri ya moto kwa kuunga nyumba yake
(Justin).Eeehe.! mzee wangu soni,bila shida
Justin).nimektana na mzee flani hivi kule church bondeni ni ni sura ngeni kwangu ata kwako pia kama ukiomuona.
(Mz soni).Hahahah we kijana we sura ngeni inamaanisha uyo mtu ni mpya katka kijiji chetu hiki.
Ndio..! Jina lake alisema anaitwa orenda
(Mzee soni).umesema anaitwa ONENDA
JUSTIN)hapan mzee ni orenda.baada ya mzee kuambiwa vile akishituka kwa uwoga sana.
Mpka kuperekea kuangusha kikombe cha pambo kilicho jaa maji yaliyotoka kweny mtungi
(Justin).mzee wangu umepatwa na nin,hapana hakuna kitu.
Mzee soni akisema neno hakuna kitu huku akifikiria jinsia ya uyo mtu aliekutana na justin
ILIPOFIKA:usiku
Justin akiweweseka sana kwa ndoto zinazo msumbua kichwani mwake akizinduka justin
Kupapasa macho kutazama kam kuna mtu yeyote au mawenge ya ndoto tu.
Aliamka justin akaketi kitako kuitathimini ndoto ya ajabu aliyoiota
(justin).Haaaaaa! Haiwez kani hili jambo lazima nikamshirikishe mzee soni
Justin kuamka kitandani kufungua mlango maana nihatua chache kufika mlangoni kwa mzee soni.
Kabla kufika kwa mzee soni justin alisikia sauti za watu wengi ndani humo kwa mzee soni
Ufungu wa mlango ukitoka moshi mwemba mwemba hivi
Justin alijiuliza kuani watu hawa mpka sasa hivi wanafanya nin eeehee.
Nikipi kinachoendelea.? Na sijahusishwa ngoja nikasilize vizuri justin kupiga hatua kwa kishindo gafla sauti ili kata humo ndani kwa mzee soni kimya.
Alirudi chumbani mwake haraka haraka akajifunika shuka.mdaa so mwing kupita
Alihisi mlango umefunguliwa na mtu kwa kumchungulia
Hivi ni kweli kua mzee soni ni mshirika wa wachawi haaa!mi siamini kwa hilo
Kesho asubuhi na mapema justin kujianda kwenda shambani kulima pia kuchkua kinacho faa kwa kula kwa siku hiyo.
Samahani…!justin
Justin kugeuka kusikia sauti hile nani anamuita
(justin).bila shaka,unanikumbuka justin
Tulisoma shule pamoja mi na wewe mi naitwa “BATULY”
Justin.waooow batuly ndio nakumbuka sasa asa hivi ushakua mkubwa kwel sura ilinipotea kidogo
(Batuly).kwanza pole na msiba maan maindra alikua ni rafik yangu sana
Asante sana batuly pia asa hivi nahisi mke wangu atakua yupo kwa mungu wa nena jambo jema
Gafla simu ya justin alipigwa kwa namb ngeni.alikata mara ya kwanza maana ilikua ni namba mpya katika simu yake
Mara ya pili ilipgwa tena akapokea
Halloh…..!
Hallo kijana wangu justin mi orenda
Orenda…?justin alijiuliza kwel kuhusu namb yake ameipataje maana ye ile siku hakumpa namb yake
Lakini yeye ndo aliechkua na ya mzee orenda
Nini kitaendlea kwa justin na orenda je mzee soni ni mchawi au….🤷
Orenda,”sawa kijana wangu ukiwa na uhitaji wowote usi sisite kuniambia
Justin.
Sawa mzee wangu una una itwa nani vile jina lako samahani lakini
Orenda
“ORENDA BENANDRI COSMAS”,usijali namba yangu hiyo ukiwa na uhitaji wa neno la mung nipigie kijana
Baada ya mazungumzo kuishaa justin alienda kwa mzee soni maana hapo ndo anapo ishi kwasasa kutokana na ajiri ya moto kwa kuunga nyumba yake
(Justin).Eeehe.! mzee wangu soni,bila shida
Justin).nimektana na mzee flani hivi kule church bondeni ni ni sura ngeni kwangu ata kwako pia kama ukiomuona.
(Mz soni).Hahahah we kijana we sura ngeni inamaanisha uyo mtu ni mpya katka kijiji chetu hiki.
Ndio..! Jina lake alisema anaitwa orenda
(Mzee soni).umesema anaitwa ONENDA
JUSTIN)hapan mzee ni orenda.baada ya mzee kuambiwa vile akishituka kwa uwoga sana.
Mpka kuperekea kuangusha kikombe cha pambo kilicho jaa maji yaliyotoka kweny mtungi
(Justin).mzee wangu umepatwa na nin,hapana hakuna kitu.
Mzee soni akisema neno hakuna kitu huku akifikiria jinsia ya uyo mtu aliekutana na justin
ILIPOFIKA:usiku
Justin akiweweseka sana kwa ndoto zinazo msumbua kichwani mwake akizinduka justin
Kupapasa macho kutazama kam kuna mtu yeyote au mawenge ya ndoto tu.
Aliamka justin akaketi kitako kuitathimini ndoto ya ajabu aliyoiota
(justin).Haaaaaa! Haiwez kani hili jambo lazima nikamshirikishe mzee soni
Justin kuamka kitandani kufungua mlango maana nihatua chache kufika mlangoni kwa mzee soni.
Kabla kufika kwa mzee soni justin alisikia sauti za watu wengi ndani humo kwa mzee soni
Ufungu wa mlango ukitoka moshi mwemba mwemba hivi
Justin alijiuliza kuani watu hawa mpka sasa hivi wanafanya nin eeehee.
Nikipi kinachoendelea.? Na sijahusishwa ngoja nikasilize vizuri justin kupiga hatua kwa kishindo gafla sauti ili kata humo ndani kwa mzee soni kimya.
Alirudi chumbani mwake haraka haraka akajifunika shuka.mdaa so mwing kupita
Alihisi mlango umefunguliwa na mtu kwa kumchungulia
Hivi ni kweli kua mzee soni ni mshirika wa wachawi haaa!mi siamini kwa hilo
Kesho asubuhi na mapema justin kujianda kwenda shambani kulima pia kuchkua kinacho faa kwa kula kwa siku hiyo.
Samahani…!justin
Justin kugeuka kusikia sauti hile nani anamuita
(justin).bila shaka,unanikumbuka justin
Tulisoma shule pamoja mi na wewe mi naitwa “BATULY”
Justin.waooow batuly ndio nakumbuka sasa asa hivi ushakua mkubwa kwel sura ilinipotea kidogo
(Batuly).kwanza pole na msiba maan maindra alikua ni rafik yangu sana
Asante sana batuly pia asa hivi nahisi mke wangu atakua yupo kwa mungu wa nena jambo jema
Gafla simu ya justin alipigwa kwa namb ngeni.alikata mara ya kwanza maana ilikua ni namba mpya katika simu yake
Mara ya pili ilipgwa tena akapokea
Halloh…..!
Hallo kijana wangu justin mi orenda
Orenda…?justin alijiuliza kwel kuhusu namb yake ameipataje maana ye ile siku hakumpa namb yake
Lakini yeye ndo aliechkua na ya mzee orenda
Nini kitaendlea kwa justin na orenda je mzee soni ni mchawi au….🤷