Hamad yusuph
Member
- Mar 21, 2024
- 45
- 33
Tulipoishia ni pale mzee soni kuona moto ukipamba sana katika nyumba ya justin
(Raia)..saidia jman mwanga maji,”lete maji”mungu jamn maindra
Justin alishangwaza sana na moto hule umetokea wapi…?,machozi mengi sana yalimtoka justin
Justin) haiwezikani lazima nikamtoe mke wangu maindra.
Justin akiwa anapga hatua kwenda kwa nyumba yake angali moto mkali ukiwa unazidi raia walimzuia justin.
(Mzee soni).kijan tunajua kama ulimpenda maindra lakini mungu ampenda zaidi kamchkua mwanae vumilia tuu
(Justin).yaan mzee asa hivi tu…! Mbona kaondoka mapema hiv mke wangu na na naa kaondoka na mwanangu.
Justin alilia sana hadi fahamu zikampotea yaan kuzimia kibanda chote kimeisha kwa moto hule
Ama kwel furaha ikipotea huzuni utawala justin kuzinduka asabuhi na mapema sura ya kwanza kuiona mzee soni..!
Mwanangu unaendeleaje…!
Safi mzee wangu
Unatakiwa ukubaliane na hali harisi ujue si sote watu wa mungu.akitu hitaji mda wote atatuchukua.
Mwanangu vumulia we mwanaume sawa baba.
(Justin).sawa baba nitajitahidi kuyashinda yote haya yaliyotokea
Wiki tatu kupita baada ya mazishi ya mke wa justin,justin aliendelea na maisha yake pia ye ni takatifu sana maan ye ni mtu wa neno la mungu
Siku moja justin baada misa ya pili ikiwa jumapili justin alikutana na mzee mmoja anaitwa(ORENDA)
(ORENDA).kijana wangu unaendeleaje…?
(Justin)alishangaa sana kwanini umeniuliza hivo akati hujui maswahibu mangapi niliyopitia
(Raia)..saidia jman mwanga maji,”lete maji”mungu jamn maindra
Justin alishangwaza sana na moto hule umetokea wapi…?,machozi mengi sana yalimtoka justin
Justin) haiwezikani lazima nikamtoe mke wangu maindra.
Justin akiwa anapga hatua kwenda kwa nyumba yake angali moto mkali ukiwa unazidi raia walimzuia justin.
(Mzee soni).kijan tunajua kama ulimpenda maindra lakini mungu ampenda zaidi kamchkua mwanae vumilia tuu
(Justin).yaan mzee asa hivi tu…! Mbona kaondoka mapema hiv mke wangu na na naa kaondoka na mwanangu.
Justin alilia sana hadi fahamu zikampotea yaan kuzimia kibanda chote kimeisha kwa moto hule
Ama kwel furaha ikipotea huzuni utawala justin kuzinduka asabuhi na mapema sura ya kwanza kuiona mzee soni..!
Mwanangu unaendeleaje…!
Safi mzee wangu
Unatakiwa ukubaliane na hali harisi ujue si sote watu wa mungu.akitu hitaji mda wote atatuchukua.
Mwanangu vumulia we mwanaume sawa baba.
(Justin).sawa baba nitajitahidi kuyashinda yote haya yaliyotokea
Wiki tatu kupita baada ya mazishi ya mke wa justin,justin aliendelea na maisha yake pia ye ni takatifu sana maan ye ni mtu wa neno la mungu
Siku moja justin baada misa ya pili ikiwa jumapili justin alikutana na mzee mmoja anaitwa(ORENDA)
(ORENDA).kijana wangu unaendeleaje…?
(Justin)alishangaa sana kwanini umeniuliza hivo akati hujui maswahibu mangapi niliyopitia