Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kwako Ndugu Juliasi:
Kwa maoni yangu binafsi, wakati mwingine nchi inahitaji mtu kama Kikwete hili pumba, chuya, na mchele utenganishwe.
Wako katika gurudumu la maendeleo,
Z10.
It is obvious that he is overwhelmed. It is obvious that he is discombobulated and doesn't know what to do.
Mwanafalsasa,Government like in most work places is team work. You may not be the most talented or skilled leader but if you have a good team to back you up you appear exceptional. Like you know, the boss always takes credit & the blame for anything his team does. The biggest mistake Kikwete has made as president is surrounding himself with incompetence. If he had chosen able people to his cabinet and inner circle he would now be taking credit for their good work. Tatizo sasa bongo boss ana taka kuzunguukwa na watu wenye uwezo mdogo kuliko yeye and now he is paying for that. i say he goes for a second term. Whether he choses a better team next time around time will tell.
Mwanafalsasa,
Hata ukiwa na timu nzuri kiasi gani ali mradi wewe kiongozi hujui unaipeleka wapi timu yako mambo yatakuwa yale yale. Unahitaji kuwa na vision kwanza kuweza kutumia vizuri hiyo timu ya washauri wako. Otherwise mambo yatakuwa ni ku-copy and paste hata kama hayo uliyopaste ni contradictory.
Nakubaliana na wewe mkuu. Even with a good team a leader still needs to lead but don't you think Kikwete's position has been made worse with people he has surrounded himself with? From EL, AC who were in his cabinet to the unguided missile by the name of Sophia Simba. I agree with you kuwa raisi ana hitaji vision laa sivyo ni kazi bure but pia I stand by my words kwa kusema ukiwa na wasaidizi ovyo basi hata uwe kiongozi mzuri kiasi gani ni kazi bure.
In my opinion the whole team including Kikwete is full of bogus, incompetent, good for nothing people who are there to accumulate wealth as much as possible.
Maybe his presidency is a blessing in disguise as a teachable moment. Maybe next time around we will carefully vet presidential hopefuls to ensure we don't end up with a knockoff.
Juliasi,
Do you now embrace "Thank God for giving us Kikwete"?
Government like in most work places is team work. You may not be the most talented or skilled leader but if you have a good team to back you up you appear exceptional. Like you know, the boss always takes credit & the blame for anything his team does. The biggest mistake Kikwete has made as president is surrounding himself with incompetence. If he had chosen able people to his cabinet and inner circle he would now be taking credit for their good work. Tatizo sasa bongo boss ana taka kuzunguukwa na watu wenye uwezo mdogo kuliko yeye and now he is paying for that. i say he goes for a second term. Whether he choses a better team next time around time will tell.