salum waziri kauza timu kizembe kala na yeye red azam wanazingua sasa..
Azam wanakosa penati.
Azam pole yenu jamani, Mungu awape nini sasa.
Hivi Atudo si ndo mpigaji penati mzuri wa Azam, sasa imekuwaje leo wamempa Boko au Atudo kakataa ikabidi nahodha achukue jukumu.Azam wanakosa penati.
kwenye mechi hii hii au nyingine!!yaaani tukipata nyingine hatumpi bocco..
acha na bocco kakosa penati..