Yanga hali mbaya kule taifa....Mnabaniwa na Ruvu, hawataki kuwa uchochoro. Kaeni na ubingwa wenu.
Yanga hali mbaya kule taifa....
Naona unashangilia peke yako Humu ngoja nikupe Nguvu za kushangilia mabingwa japo Wenye wivu husema ubingwa wa ufisadi ila wao ufisadi wao sijui kioo wanachojitizama kimevunjika timu zengine?dk 94 jkt ruvu 0 - 1 azam