The Official Azam FC Thread

Mnabaniwa na Ruvu, hawataki kuwa uchochoro. Kaeni na ubingwa wenu.
 
azam sub
kelvin in mwaikimba out
still nil nil
 
dk 83 jkt 0 - 1 azam

azam sub
mcha in himid out
 
dk 94 jkt ruvu 0 - 1 azam
Naona unashangilia peke yako Humu ngoja nikupe Nguvu za kushangilia mabingwa japo Wenye wivu husema ubingwa wa ufisadi ila wao ufisadi wao sijui kioo wanachojitizama kimevunjika timu zengine?
 
Magoli ya Jamil Mchaulo Baloteli dk4 na Adam Omar Soba dk88 yametosha kuipa ushindi Azam Academy wa magoli 2-0 dhidi ya JWTZ Twalipo Academy na kutwaa ubingwa wa Rolling Stone 2014
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…