le bron is the best player so far. pick another clown.
wakulaumiwa hapa ni coach kwa kutotafuta point guard wa ukweli, Chalmers is not up to the task, hebu check hako ka-pitbull Rondo kanavofanya vitu. Hako ndio kanako-set tempo ya Boston.i am trying my best to trust him but cant compare with KD
rondo is on another level aiseewakulaumiwa hapa ni coach kwa kutotafuta point guard wa ukweli, Chalmers is not up to the task, hebu check hako ka-pitbull Rondo kanavofanya vitu. Hako ndio kanako-set tempo ya Boston.
kaka pietrus alipochoma tu zile 3 nlijua tu hapa ngoma tayari mwali keshabeba pacha. hata hivo huku nilishaona hakuna wa kuchukua ndoo.inaboa sana, i think western conference winner will take it
yah man.....kama boston akitake eastern basi okc atasumbuka sana kuchukua ndoo....ila hawa heat kwa okc watatepeta......heat haicghezi kitimu mchezaji mmoja mmoja ndio wanabeba timu.....angalia only lebron na wade ndio wana doble figure kwenye point...pia no dought the east is tied because of Rajon Rondo....ambae amekuwa better than LeBron James or Dwyane Wade....pia kibabu garnet yuko on fire balaa....kwa kifupi naona celtics wakiingia finals watafanya ubingwa wa okc kuwa mgumu.....inaboa sana, i think western conference winner will take it
who is the best point gurd so far? jasson Kidd, stive Nash, Stockton, Payton,allen iverson,derrick rose,russel westbrook,chris paul maana naona watu wengi wanamuweka rajon rondo nae katika ma best PG so far....
who is the best point gurd so far? jasson Kidd, stive Nash, Stockton, Payton,allen iverson,derrick rose,russel westbrook,chris paul maana naona watu wengi wanamuweka rajon rondo nae katika ma best PG so far....
kuna watu wanasema dogo RR anaweza kuingia kwenye list ya akina payton..kwangu mie naona bado sana kuingia kwenye list ya wakali hao......
Jamani msimlaumu sana Lebron jamaa ndio best in da game tatizo linakuja ni hivi.
1. Boston Celtic wanaujuzi Manager Doc Rivers na KG-Pearce_Allen tayari watu wapo kwenye game maswala ya wapi sio pakuogopa ku shoot washapitia sana wakiongeza na kibulibuli chao Rondo ndio kabisa.
2. Miami hawana Fundi mzuri jengine PG hawana wanategemea sana Wade na Lebron ni Big 2 sio Big Three ni Big 2 feturing 1 Bosh
3. Media na Social Media uhuru wa kutype na kuandika habari siku hizi upo nje sana kukosoa kila mtu ndio kinachowaangusha yule Mwana Lebron James wakati muda upo siku hizi kwenye sports kosa moja kila mtu Twitter na FB wanauwa kushinda hata Media zenyewe.
Miami kwa ujumla lawama walizitaka pale Wade na Lebron na Bosh walivyojitengenezea timu ndio hapo watu inawafanya wawahukumu yakuwa wanatakiwa kupata Ring mapema. Lebron kama angeenda Chicago japo siipendi Chicago basi kule angesha win Ring pia Miami sizani kama watawaachia hivihivi Boston Celtic waende easy FINAL,
Lebron kwa sasa hivi Mpenzi wake ananafasi kubwa ya kuwa Mke na kuvalishwa Pete mwanzo ndio Lebron baadae zaidi ya hapo wanaosema Kevin Durant ni zaidi ya Lebron si kweli Lebron ni Best zaidi ya Kevin Durant ila nitafurahi zaidi DURANT ndio abebe FINAL MVP na ring tofauti ya Durant sehemu ngumu ya 3 anapiga Lebron anatowa pasi kukimbia lawama ila Lebron ndio Best.
Napendelea Boston na OKC final ili OKC wabebe.
Jamani msimlaumu sana Lebron jamaa ndio best in da game tatizo linakuja ni hivi.
1. Boston Celtic wanaujuzi Manager Doc Rivers na KG-Pearce_Allen tayari watu wapo kwenye game maswala ya wapi sio pakuogopa ku shoot washapitia sana wakiongeza na kibulibuli chao Rondo ndio kabisa.
2. Miami hawana Fundi mzuri jengine PG hawana wanategemea sana Wade na Lebron ni Big 2 sio Big Three ni Big 2 feturing 1 Bosh
3. Media na Social Media uhuru wa kutype na kuandika habari siku hizi upo nje sana kukosoa kila mtu ndio kinachowaangusha yule Mwana Lebron James wakati muda upo siku hizi kwenye sports kosa moja kila mtu Twitter na FB wanauwa kushinda hata Media zenyewe.
Miami kwa ujumla lawama walizitaka pale Wade na Lebron na Bosh walivyojitengenezea timu ndio hapo watu inawafanya wawahukumu yakuwa wanatakiwa kupata Ring mapema. Lebron kama angeenda Chicago japo siipendi Chicago basi kule angesha win Ring pia Miami sizani kama watawaachia hivihivi Boston Celtic waende easy FINAL,
Lebron kwa sasa hivi Mpenzi wake ananafasi kubwa ya kuwa Mke na kuvalishwa Pete mwanzo ndio Lebron baadae zaidi ya hapo wanaosema Kevin Durant ni zaidi ya Lebron si kweli Lebron ni Best zaidi ya Kevin Durant ila nitafurahi zaidi DURANT ndio abebe FINAL MVP na ring tofauti ya Durant sehemu ngumu ya 3 anapiga Lebron anatowa pasi kukimbia lawama ila Lebron ndio Best.
Napendelea Boston na OKC final ili OKC wabebe.