[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Niko hapa babe ndio nimefika nafuraha sana kuona Mwifwa anakupenda hivi mpaka kushusha thread ujue kushusha thread kama hivi sio jambo la mchezo mtu kaamua kujilipua usije mtesa mkaka wa watu kwa aina yeyote ile nawapenda sana yaan sana na huwa napenda kukuona ukiwa na furaha kama kipindi hiki
Hahhaha sasa najuaje mie jamani halafu babe ngoja niulize hili swali la msingi sana hivi sio bongo movie kweli nashusha ushauri wangu wa maana halafu kumbe hamkulani inakuwa bongo movie na huu utu uzima wangu mtakuwa mmenikosea sana
Babe Ahsante kwa jibu zuri[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jana yenyewe tumekulana ndo maana tumechelewa kuamka kwa uchovu,now tunaishi pamoja jaman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babe Ahsante kwa jibu zuri
Msisahau tu kuniwekea pichaNgoja niendelee kukaa na wageni hapa kabla unaivisha babe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Selfie zinatosha tu hatuhitaji mfotoaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uchokozi huo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]