Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,120
- 3,468
nilisikia kuwa baada ya kupiga hii picha, na ikawa inajipatia umaarufu sana. Alieipiga alikuwa anaulizwa hii ishu iliishiaje, na kwa kuwa hakufuatilia, alibaki na msongo wa moyo kwa ajili ya kuwaza kilichotokea kwa huyo mtoto. mwisho wake alishindwa kuishi na kujiua!!
....I can feel ya anguish bro. I personally think the 'curse' lies in the tendency to Copy everything instead of being creative or/and being inventive!!!