Aisee! Nchi ngumu sana hii. Biashara zina taratibu au sio?Acha kuharibu biashara za watu,unaacha kusema mapapa kama club d na Mopao unaleta mdomo hapa,Ticha endelea kutupa buruda,alafu wew utakua kapub ka jirani.
Ebanaee ushakimbia Kino? Kwani Madale hamna bar? Hata Goba lilikuwa pori subiri tu zitakufikia. Nchi haina mipango miji hii.Ndomana nliamua kujikalia madale huku
Sinza, tabata balaa tupu
Ova
Moshono nadhani ni Arusha.....Habari yako haijajitosheleza, hiyo The Place ipo Mkoa Gani?,Wilaya au Kata Gani ? Andika kero yako vizuri
Yaani hatulali aisee.Kupambana na hizi bar ni ngumu sana. Wakati pillars ya njiro inaanzishwa, majirani tena wazito walipambana sana, lakini walishindwa. Wazee wa watu maskini imebidi wengine wakimbie makazi yao na kwenda kupanga. Inaumiza saanna yani.
Serikali za mitaa wanasemaje?Yaani hatulali aisee.