The Power of Second Chances.............

Huyu mjukuu wako asisingizie nyagi wala nini! Tulishakubaliana mi nakata viboko walau mizigo miwili lumbesa, napakaa pilipili afu AshaDii na Nyamayao ndo wanamcharaza manake mie ntamuua!


Taratibu King'asti,

Ukienda moto chini namna hiyo utaua watoto/wajukuu

Babu DC!!
 
Saa zingine inawezekana isiwe second chance bali fourth au fifth
 
Mjukuu anaomba ruhusa kulia kwenye sefuria ama chungu kabisaa!

Hahahahahahah,

Unajua nini King'asti,

Hakuna kitu kinatia huruma kama mtu kumwona mwenzake lofa......Ndo inafikia mahali jamaa anakuja na mizigo yake na kukuomba atandikiwe kitanda vizuri halafu mdau ahamie guest room...kama ni uswahilini basi inabidi ampige exile aende kwa shoga yake....Kesho asiwahi kuwasumbua ila akumbuke kufua kila kitu!!...Khaaaaaaaaaaaa, hii dunia hii, anaijue aliyeiumba!!

Babu DC!!
 
Aisee.... kweli out of sight, out of mind!!
 
Kwanza unapo mpa mtu first chance lazima uweke wazi kua he has only one chance. Na pale anapo kosea take all the time you need before you take any decision. Then ikitokea mnaachana kaa nae mbali, usimpe hata nafasi ya kufikiria there could be a second chance.
When you give some people a second chance it is like giving them a second bullet...
 
mate... hapa nimechoka kabisa..... ngoja tuangalie hawa akina NGUYEN kama wana lolote la ku-offer.....:rant:

Timor Mashariki hakumfai? Naona huku kimeumana mazima. Inakuwa kama habari ya mke wa Lutu na jiwe la chumvi asee....
 

Siyo risasi tu RussianRoulette,

Hata bunduki umempatia ya kwako mwenyewe......!!


Babu DC!!
 

....Mpe tu second chance hakuna ubaya na pia ukumbuke kwamba binadamu hatuko perfect...ali mradi amekuomba samahani kwa kosa alilolitenda na samahani hiyo ukaikubali bila shingo upande basi kumsamehe ni jambo jema...vinginevyo unaweza kuruka....... ukakanyaga..... πŸ™‚πŸ™‚....kwani shemeji weye hujawahi kusamehewa kwa (ma)kosa yako/lako!?

Vaislay


 
Last edited by a moderator:

MwanajamiiOne, mpaka umempa nafasi ya kupangisha mawazoni mwako, ujue ana deserve a 2nd chance.

Am 100% behind you. Go for it....it is for ur happiness πŸ˜‰
 
Last edited by a moderator:

... RussianRoulette wajua nilishaanza pata ahueni kwenye tasnia hii ya mapenzi na kupenda tena, ila hii post yako umeni derail upyaa...

I find it v.difficult trusting LOVE again sababu ya kupeana hizo "2nd" chances kisha unakuwa hit na "2nd" bullets again and again....

Potelea mbali, ....am safe in my own shell for the rest of mylife....to hell with Love.
 
Last edited by a moderator:
Aisee.... kweli out of sight, out of mind!!

Wewe unayo kesi na mie

Jamani wapenzi is kwamba nbimewapuuza nyagi ndo nimeizimua saa hizi na nyagi nyenzie. Nakuja kuwajibu

Hahah King'asti na Asprin mmeniacha hoi kwa kicheko nahisi ningekuwa karibu yenu mngening'oa hii lace wig ya Marehemu Whitney nloibandika kha!
 
MwanajamiiOne, mpaka umempa nafasi ya kupangisha mawazoni mwako, ujue ana deserve a 2nd chance.

Am 100% behind you. Go for it....it is for ur happiness πŸ˜‰

Asa unaitumia thread yangu kujipigia debe?! Nani mwingine ataedeserve my second chance katika dunia hii ya mapenzi kama is wewe Mbu? Hapa nawaza yale ya what if ujue!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…