The problem with Kenya

Tatizo huwa mkilewa mbege mnakurupuka na kuingia JF na kuanza kuandika, mtu hutulii uandike kitu cha kueleweka.
Subiri tani laki moja yako ya mahindi usije kufa njaa bradhee
 
Subiri tani laki moja yako ya mahindi usije kufa njaa bradhee

Hiyo sawa, mlime nyie tule sisi, ndio utamu wa kuwa na hela!! Kazi yako inakua kuagiza agiza tu.
 
Hiyo sawa, mlime nyie tule sisi, ndio utamu wa kuwa na hela!! Kazi yako inakua kuagiza agiza tu.
Siku tukifunga mpaka tunaua watu
Yani kwa miaka 3 tu tushakua donor country na tunalisha wakenya!
 
Siku tukifunga mpaka tunaua watu
Yani kwa miaka 3 tu tushakua donor country na tunalisha wakenya!
Tunaagiza toka Mexico na Zambia.....haraka haraka Upesi hata Brazil ,hamna lolote.
 
Siku tukifunga mpaka tunaua watu
Yani kwa miaka 3 tu tushakua donor country na tunalisha wakenya!
Soma historia, kuna wakati boda kati ya Kenya na Tz ilifungwa kwa miaka saba! Uchumi wa Kenya kwa miaka hiyo saba uliendelea kukua kwa kasi, huku uchumi wa Tz ukidorora na kutoka wakati huo hadi sasa hivi bado mnaisoma namba. Hizi propaganda zenu za sisiemu ni za kilofa kupindukia.
 
Siku tukifunga mpaka tunaua watu
Yani kwa miaka 3 tu tushakua donor country na tunalisha wakenya!

Mkifunga mpaka kwanza kabisa omba omba wenu watateseka sana.
Pia nchi yenu itazidi kuwa maskini maana hayo mahindi hamtapata wanunuzi wenye hela kama sisi.
 
Wondering if the east africa community will ever be a success if we as citizens have all these differences
 
Mbona unasema eti Kisumu is on its way to overtake Kampala and Mwanza? Mwanza has never been in the level of Kisumu and will never. Just google the second most important city in lake Victoria then give me the feedbavk
Typing error [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Devolution in fact unites a country even more. Look at North Eastern, they were never given any sort of attention by the government but today they have a government closer to them. They collect their revenue and govern themselves. Today whatever happens in Nairobi can be anywhere in the country be it good roads, big projects and so on. Look at Turukana County it has the largest wind farm in Africa and piling oil for export, Lamu is building the largest port and Moyale connects Kenya to Ethiopia all this thanks to devolution. Tribalism has also gone down compared to previous decades and Cracking down corrupt leaders is even easier. With devolution total power is with the people not the president. Devolution is the Key to national development.
 

let me tell you this ,if Tz will use devolution system then it will grow at a speed that have never been reached since its independence because every region in Tanzania is having sufficcient natural resources to run itself successfully ( most of our resources are still underutilized and hence leave a gap for the regions to grow rapidly e.g the southern tourism circuit and a bare virgin land).. when it comes to our national unity TRUST ME , it will be weakened since there are so many vissible divisions in Tanzania which are powerless currently due to the existing system and if devolution 'll be used, all of these 'll rise and get back to the position they were before Nyerere ruined them.

you have to dig deeper and create your own version of perspectives. kama hujawahi ishi Tanzania huwezi kuelewa hili na pia Watanzania na Wakenya ni watu tofauti sana.so whatever worked in Kenya may not necessarly bring the same kind fruits in Tanzania's side
 
Utawasikia wabongo wakitukana eti English sio dili huku mnapenda ila ndo hivyo tena lugha ya malkia inawapiga chenga.Tumia tu kiswahili utaeleweka badala ya broken english
 
Exclusion is for Dar only,so far Dom lags behind Dar tu when it comes to domestic revenues collections
 
Kenyans calm down. tz is trying hard to be like kenya and they will come good. their is no need of all this baseless argument. all we need is to encourage them not to give up on the way.let us love them as our brother's and good neighbours in East Africa.
 
Mk254 nakukubali lugha uchambuzi na hoja.
Bila shaka una nasaba na Tz.
Tz na Kenya ujirani wetu ni fursa vijana acha malumbano, tafuta upenyo either way ili kuvuka kimaisha.
Upande mmoja ardhi yenye rutuba na mali ghafi kwingine soko.
Funguka macho kamata fursa acha malumbano!!
 

you have spoken my mind well: behind this argument there is an open wide opportunity: i wonder this generation life span is just around 40 - 50 years, most of them commenting here are 20's, so roughly we have 20 more to step on land before we are gone
 
Utawasikia wabongo wakitukana eti English sio dili huku mnapenda ila ndo hivyo tena lugha ya malkia inawapiga chenga.Tumia tu kiswahili utaeleweka badala ya broken english
Sawa mkuu asante kwa ushauri
 
Exclusion is for Dar only,so far Dom lags behind Dar tu when it comes to domestic revenues collections
You don't know what Mwanza really is and how the ongoing projects are going to transform it into a modern city. Mwanza has two municipals while Dodoma and Arusha still have one each, Dodoma growth is highly fuelled by the government based on the political reasons while Mwanza is developing with little Government efforts based on its economical potential...

Mwanza is not so popular compared to Arusha and this makes some foreigners underrate it.
 
ndio maana baba enu ana jicho jekundu kama simba,baba etu japo ana komwe lakini handsome kenya ilifaa iwe annexed tanzania ili iwe kata tuiite kata ya kenya na diwani wake apatikane
 
Acha porojo mkuu jumlisha mapato ya mwanza jiji/nyamagana plus ilemela hayafikii ya Dodoma
Mambo ya on going projects kila mji ipo na ishu ya kwamba Dom iko fuelled na mipango ya serikali sijui ulitaka iweje hiyo ndio faida ya kuwa capital city
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…