Subiri tani laki moja yako ya mahindi usije kufa njaa bradheeTatizo huwa mkilewa mbege mnakurupuka na kuingia JF na kuanza kuandika, mtu hutulii uandike kitu cha kueleweka.
Subiri tani laki moja yako ya mahindi usije kufa njaa bradhee
Siku tukifunga mpaka tunaua watuHiyo sawa, mlime nyie tule sisi, ndio utamu wa kuwa na hela!! Kazi yako inakua kuagiza agiza tu.
Tunaagiza toka Mexico na Zambia.....haraka haraka Upesi hata Brazil ,hamna lolote.Siku tukifunga mpaka tunaua watu
Yani kwa miaka 3 tu tushakua donor country na tunalisha wakenya!
Soma historia, kuna wakati boda kati ya Kenya na Tz ilifungwa kwa miaka saba! Uchumi wa Kenya kwa miaka hiyo saba uliendelea kukua kwa kasi, huku uchumi wa Tz ukidorora na kutoka wakati huo hadi sasa hivi bado mnaisoma namba. Hizi propaganda zenu za sisiemu ni za kilofa kupindukia.Siku tukifunga mpaka tunaua watu
Yani kwa miaka 3 tu tushakua donor country na tunalisha wakenya!
Siku tukifunga mpaka tunaua watu
Yani kwa miaka 3 tu tushakua donor country na tunalisha wakenya!
Si mliagiza toka mexico mkaletewa mahindi ya 1980! Au umesahauTunaagiza toka Mexico na Zambia.....haraka haraka Upesi hata Brazil ,hamna lolote.
Typing error [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona unasema eti Kisumu is on its way to overtake Kampala and Mwanza? Mwanza has never been in the level of Kisumu and will never. Just google the second most important city in lake Victoria then give me the feedbavk
Devolution in fact unites a country even more. Look at North Eastern, they were never given any sort of attention by the government but today they have a government closer to them. They collect their revenue and govern themselves. Today whatever happens in Nairobi can be anywhere in the country be it good roads, big projects and so on. Look at Turukana County it has the largest wind farm in Africa and piling oil for export, Lamu is building the largest port and Moyale connects Kenya to Ethiopia all this thanks to devolution. Tribalism has also gone down compared to previous decades and Cracking down corrupt leaders is even easier. With devolution total power is with the people not the president. Devolution is the Key to national development.I think devolution is great and will develop Tanzania very fast but it will endanger our national unity and produce long lasting negative impacts for generations. As Tanzanians, we are more than united regardless of all the tribes and religions we have but these divisions are still existing; they are not powerful due to the existing system. If you want to know more about what im talking about, just learn how Nyerere killed tribalism in Tanzania
Devolution is the only answer to national development. Rehabilitating towns will never make Tanzania developed uniformity. Lazima serekali ikae na raia ndio wajue mashida zenu. Kenya is developing as a country and already NAIROBI is perfectly positioned as an inland Commercial hub in East Africa while Mombasa is the Coastal gateway to East Africa. Kisumu is on its way to take the crown from Kampala and Mwanza in the great Lake.
That's what we call strategy.
Utawasikia wabongo wakitukana eti English sio dili huku mnapenda ila ndo hivyo tena lugha ya malkia inawapiga chenga.Tumia tu kiswahili utaeleweka badala ya broken englishThey have ye exposure but yet they think the whole world is in Nairobi. Tanzania chose the other way round that every one should benefit from what the nation earn. You meanwhile everyone is to hustle and get a way to live in Nairobi. We chose not construct 6 lanes way in dar in order to to have all ways from north to south, we chose not only dar to develope but all regions. So make a visit to Tanzania once and make all this trash u talk here
Exclusion is for Dar only,so far Dom lags behind Dar tu when it comes to domestic revenues collectionsYou 've got a point since Dar used to be both commercial (port) and capital city of Tanzania. All necessary investments were done in DSM which in return created the chaos we are seeing right NOW
But that was in the past the same as Kenya was before the development of devolution system and the construction of highways & SGR which have beautified the whole of Kenya.
If you have been to Dodoma then huwezi kuwa na such kind of thoughts.. Dom as a capital city have the biggest university in the entire EA and central Africa and don't forget about the parliament or the ongoing massive construction of Government buildings. Brother DODOMA is a next big thing in Tanzania which is even threatening the supremacy of existing cities in exclusion of Dar and Mwanza
Mk254 nakukubali lugha uchambuzi na hoja.
Bila shaka una nasaba na Tz.
Tz na Kenya ujirani wetu ni fursa vijana acha malumbano, tafuta upenyo either way ili kuvuka kimaisha.
Upande mmoja ardhi yenye rutuba na mali ghafi kwingine soko.
Funguka macho kamata fursa acha malumbano!!
You don't know what Mwanza really is and how the ongoing projects are going to transform it into a modern city. Mwanza has two municipals while Dodoma and Arusha still have one each, Dodoma growth is highly fuelled by the government based on the political reasons while Mwanza is developing with little Government efforts based on its economical potential...Exclusion is for Dar only,so far Dom lags behind Dar tu when it comes to domestic revenues collections
Acha porojo mkuu jumlisha mapato ya mwanza jiji/nyamagana plus ilemela hayafikii ya DodomaYou don't know what Mwanza really is and how the ongoing projects are going to transform it into a modern city. Mwanza has two municipals while Dodoma and Arusha still have one each, Dodoma growth is highly fuelled by the government based on the political reasons while Mwanza is developing with little Government efforts based on its economical potential...
Mwanza is not so popular compared to Arusha and this makes some foreigners underrate it.