The Ramadhan Brothers wamefanikiwa kuchukua nafasi ya 5

The Ramadhan Brothers wamefanikiwa kuchukua nafasi ya 5

red label

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
439
Reaction score
886
Maulid njema wapendwa ndg zangu Waislam. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkuu. Ila tunamchosha Kwa kutokuchungulia fursa alizotupatia.

The Ramadhan Brothers wamefanikiwa kuchukua nafasi ya 5. Ni shindano gumu lenye kuleta vipaji mbalimbali kwenye jukwaa moja duniani.

Isijurudie tena
1. Wamesafiri Kwa gharama zao
2. Wamepambana Kwa gharama zao.
3. Hakuna ubalozi wala wizara iliyoonyesha ushiriki hata support (tuelezane ukweli, tusichukiane)
4. Taifa kupitia wizara ya michezo, utamaduni NK.kuna mahala mmezingua)
5. Jumuiya ya watanzania wanaoishi marekani idadi ni kubwa mna mbwembwe nyingi hamjaonyesha kitu.

6. Tujifunze kutoka Nigeria,hii nayo ilikuwa endorsed na waingereza kupenda vya nyumbani na kuvisupport(Patriotism)
7. Tufunike kombe mwanaharamu apite.

Tusirudie tena. Tunavyopenda majungu na kuzuliana hoja zisizo na mashiko tungewekeza kupenda vya nyumbani na kuviweka kwenye ramani tungefika mbali.

Mytake:Hakuna platform ya kuweza kuitangaza Tanzania kama kupitia Sanaa na michezo duniani.

Kaka Dkt. Ndumbaro/MH Kaka yangu Mwinjuma..Muje na basi na Jambo...
 
Walifata taratibu za kujitambulisha?

Kuna mahali wamejisajili?

Wizara inawatambua na je inatambua mashindano waliyoshiriki?

Walienda kwenye kituo chichote cha habari kutangaza kikundi Chao?

Wamelalamika kuwa wanahitaji msaada?

Mie Simo kwenye lawama ulizotoa ndugu.
 
Jifunze matumizi Bora ya bando unazonunua,siyo unaishia kuangalia porn na umbeya
Mkuu Kuna Nini Kwani ..Hao Ramadhani Brother s ni kina nani ..wamefanyanini ambacho mtu asiye wajua unamwita mmbeya na mchungukia ngono kwenye mitandao!?
 
Maulid njema wapendwa ndg zangu Waislam. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkuu. Ila tunamchosha Kwa kutokuchungulia fursa alizotupatia.

The Ramadhan Brothers wamefanikiwa kuchukua nafasi ya 5. Ni shindano gumu lenye kuleta vipaji mbalimbali kwenye jukwaa moja duniani.

Isijurudie tena
1. Wamesafiri Kwa gharama zao
2. Wamepambana Kwa gharama zao.
3. Hakuna ubalozi wala wizara iliyoonyesha ushiriki hata support (tuelezane ukweli, tusichukiane)
4. Taifa kupitia wizara ya michezo, utamaduni NK.kuna mahala mmezingua)
5. Jumuiya ya watanzania wanaoishi marekani idadi ni kubwa mna mbwembwe nyingi hamjaonyesha kitu.

6. Tujifunze kutoka Nigeria,hii nayo ilikuwa endorsed na waingereza kupenda vya nyumbani na kuvisupport(Patriotism)
7. Tufunike kombe mwanaharamu apite.

Tusirudie tena. Tunavyopenda majungu na kuzuliana hoja zisizo na mashiko tungewekeza kupenda vya nyumbani na kuviweka kwenye ramani tungefika mbali.

Mytake:Hakuna platform ya kuweza kuitangaza Tanzania kama kupitia Sanaa na michezo duniani.

Kaka Dkt. Ndumbaro/MH Kaka yangu Mwinjuma..Muje na basi na Jambo...
Yaani ulitaka serikali idandie tu kwenye mambo isiyoyajua?
Hata wewe kama kuna kitu unafanya kimataifa unatakiwa utambue kuwa ni jukumu lako kupigania na kuwakilisha taifa, maana limekukabidhi passport yake na ndiyo unavyotambulika huko, lakini si wajibu wa serikali kufanya hayo mengine utakayo ila ni wajubu wako kwa nchi.
Kingine acheni habari za kusumbua kutaka watanzania waliopo huku wapoteze muda wao wakati na wao uwepo wao huku 'wanawakilisha' taifa katika mambo wafanyayo na wanachangia taifa kwa hela watumaxo nchini na hawaombi msaada wa serikali wala mtu wala huko.
 
Ila Ili tamasha Lina kaubaguzi sema mtampinga ila mtabisha.
Ukiona wamekupa golden buzzer wametumia mbinu kukupunguzia majukumu ya kushinda wa kwanza
 
Serikali husubiria mpaka wafanye vizuri sana ndiyo ijipachike kwao,watumike hadi majukwaa ya kisiasa.

Hao jamaa wameshiriki mashindano ya kimataifa mengi tu kwa juhudi zao.
 
Walifata taratibu za kujitambulisha?

Kuna mahali wamejisajili?

Wizara inawatambua na je inatambua mashindano waliyoshiriki?

Walienda kwenye kituo chichote cha habari kutangaza kikundi Chao?

Wamelalamika kuwa wanahitaji msaada?

Mie Simo kwenye lawama ulizotoa ndugu.
Hizo taratibu ulizozitaja kwa uchache saaaana, unadhani wangeshiriki? Wana hela ya kuhonga kila hatua wasikilizwe? Wanao muda wakupoteza kwa kuambiwa njoo kesho. Hiyo summary tu ya hoja waliyotakiwa wapite inatosha kuwakwanisha.
Siko kulalamika
 
Back
Top Bottom