The Real East Africa's Tourism King: Lies Unraveled

hapo umewashika kwenye makei vizuri....ila mi nilkua na habari tangu mwanzo...Kenya ina benefit zaidi kwa utalii kuliko nchi yoyote ukanda huu...ukizingatia airline, bed nights, na tourism hub status hio figure ina panda sana...
 
hapo umewashika kwenye makei vizuri....ila mi nilkua na habari tangu mwanzo...Kenya ina benefit zaidi kwa utalii kuliko nchi yoyote ukanda huu...ukizingatia airline, bed nights, na tourism hub status hio figure ina panda sana...
Hahahahahahaha, mna hali mbaya sana, mumaanza kuiliwaza kwa kuchora barabara na kuhisi na ninyi mna BRT baada ya kuona hamuwezi kupata BRT kama Tanzania, mlipoon hamuwezikupambana katika utalii mnajaribu kujiliwaza kwa kuanzisha ubishi wa Kibera.

Tanzania sio size yenu, andaeni data zingne zitakazoonyesha kwamba train yaTanzania sio ya umeme kwasababu next year maumivi yatakuwa makali zaidi watani zetu, nchi yenu inarudi nyuma katika kila sector, hiyo ndiyo athari ya uchumi wa makaratasi, nothing to show on the round. HAPA KAZI TU.
 
Pitia hapa pimbiπŸ˜€πŸ˜€
 
Acha kulia sana. Huijui JF na sheria zake. Bomu limesha walipukiaπŸ˜€πŸ˜€ Huitaji miwani ya mbao kusoma na kuelewa.πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…