kuna mambo mengine hayavumiliki na unaona kabisa njemba haina dalili ya kubadilika. Bora ukimbie kwakweli.<br />
at the t <br />
kama mtu akishidwa kubadilika at the time frame basi <br />
divorce na ifuate mkondo wake<br />
<br />
maaana watu wegi wanadanganywa na kauli uvumilivu <br />
wengi wanakufa sababu ni uvumilivu kama angelichukua hatua <br />
may be angelikuwa salama....
<br />Hapana mkuu mpende mtu jinsi alivyo na mabaya yake yote hata kama ni mvivu, muongu, mmbeya wewe mpende tu na hayo yote..., Mapenzi ni package.., wewe usipende mazuri yake tu na kusahau mabaya..., ukibeba beba yote na uvumilie mabaya
Swadaktaaa shantel. Naongezea, Kila shetani na mbuyu wake,Si ndo maana ule msemo wa ukiniona wa nini, wengine wanasema watanipata lini, kila spana na screw yake, kila kiatu na mguu wake
na kila kinu na mchi wake...... uzuri thread imejieleza VoR sina cha ziada
.. There are No Golden Rules
Kinachofaa kwa Hamisa.., hakifai kwa Mwajuma (one size does not fit all....)
Hata ule msemo wa do onto others as you would have them do onto you nadhani haufai , the only recipe nadhani ni kufanyia wengine yale ambayo wenyewe wanataka kufanyiwa
Si busara kumbadilisha mtu kama wewe unavyotaka , Kama kubadilika ni rahisi kwanini wewe usibadilike kuendana na yeye alivyo ?
Uvumilivu: Mvumilie kama alivyo , Ukipenda ua Rose Penda na Miba yake
Appreciate : Instead of complaining the rose bush is full of thorns, be happy the thorn bush has roses
Si ndo maana ule msemo wa ukiniona wa nini, wengine wanasema watanipata lini, kila spana na screw yake, kila kiatu na mguu wake
na kila kinu na mchi wake...... uzuri thread imejieleza VoR sina cha ziada
Mwisho wa siku,mpende akupendae asiekupenda achana nae.
OTIS.
<br />
<br /
Hata akiwa kicheche na maradhi haya umpende tu na kumvumilia? Ngumu kumeza.
kuna mambo mengine hayavumiliki na unaona kabisa njemba haina dalili ya kubadilika. Bora ukimbie kwakweli.
Kama kweli vileeeeeeeee! Ila mhhh, hata ukiibiwa nawe ukijua inabidi uvumilie tu. Nahisi inaweza kupelekea ubushoke vile, au we unaonaje. Nadhani ndo maana kuna sheria na Amri za Mungu ili kudhibiti haya mambo badala ya kuyaacha yaende kama ndege ilio kwenye 'autopilot'.
napitapita tu!
Tatizo anaweza akawa anakupenda wewe ukaachana nae kwa sababu umeshindwa kujua kuwa anakupenda. Si watu wote wana uwezo wa kuonyesha love the way their partners would understand that this is love. Kwa hiyo kuna misjudgment wakati mwingine. Anayekudanganya ukajua anakupenda, anayekupenda ukajua hakupendi.