Sawa; lakini hata miongoni mwa mafukara huwa kuna mwenye unafuu. Mtoa mada anataka kujua ni nani mwenye kuongoza kwa huo unafuu.Hakuna richest football player Tanzania, acha masihara bana. Ukijumlisha mishahara ya wachezaji wote kwa mwaka sijui kama inafika €1m, sasa utajiri wautoe wapi?
Kweli kabisa,kwaiyo matajiri wapo?Bongo hata wakipewa posho ya milioni 5 na Manji haitangazwi wanaogopa lawama, ndugu wa Chamwino wakisikia tu wote watakuja bila hodi kuleta matazo yao.