The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Maneno yenu mdomoni tu Moyoni mmejaa chuki na visasi vya kila aina nafikaga Kigali Sana tu huo beast wenu unaojivunia wewe Kama mrwandese Ni Nini hasa, wanyarwanda tegemelezi lenu Ni kilimo na ufugaji, maisha Bora mtayapatia wapi.....Kama Kuna maisha mazuri mbona ndugu zenu wanaingia kila siku Tanzania na nchi zingine huko ughaibuni kutafuta maisha na Uhuru wakufanya atakalo....wanyarwanda mnaishi Ni Kama mko jela tu taka usitake huo ndo ukweli, jivunieni wizi wa Mali Asili za Congo....
 
Mkuu the bold nami pia usinisahau kwenye tag list

Natanguliza shukran
 
Kazi nzuri sana mkuu *Habibu B. Anga*, usiache kunitag part IV Roman Lee..
 
Reactions: Lee
Asante sana chief, naomba unitag next post. Pole pia kwa changamoto unazokutana nazo...!!!
 
Hiyo picha ya Kagame yupo na mzungu gani huyo? Sura ya huyo mzungu sio ngeni
 
kilamaost: 27956993 said:
Hiyo picha ya Kagame yupo na mzungu gani huyo? Sura ya huyo mzungu sio ngeni
Umenichekesha san mkuu, hujawahi kumfahamu kabisa. Duuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…