Thanks brother ,ninashauku sana ya kufuatilia hii story kwa sababu inahusu asili ya babu yangu aliwai kuniambia kuwa alizaliwa huko Congo so nikisikia habari za huko huwa zina touchChombo tayari kwa hewa chief
Maneno yenu mdomoni tu Moyoni mmejaa chuki na visasi vya kila aina nafikaga Kigali Sana tu huo beast wenu unaojivunia wewe Kama mrwandese Ni Nini hasa, wanyarwanda tegemelezi lenu Ni kilimo na ufugaji, maisha Bora mtayapatia wapi.....Kama Kuna maisha mazuri mbona ndugu zenu wanaingia kila siku Tanzania na nchi zingine huko ughaibuni kutafuta maisha na Uhuru wakufanya atakalo....wanyarwanda mnaishi Ni Kama mko jela tu taka usitake huo ndo ukweli, jivunieni wizi wa Mali Asili za Congo....Tuna Mali nyingi CCM INAWATAFUNA NJAA NI KALI KWELI UMASKINI WA KUFA ET TUNA AMANI SEMA MNA UTULIVU HAKUNA AMANI PENTE UMASKINI HAYA NIMEMALIZA MZEE WA KULIPWA KISHIKA UCHUMBA CHA MAKINIKIA.always Proudly Rwandese.Go east or West Rwanda is the Beast not the Best [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanyarwanda si watu mkuu, majizi na wauwaji wakubwa....hawafai hata kidogo...Imekua kawaida siku hizi, uzi ukihusisha Rwanda lazima watu wavurugane kwa vita ya maneno!
More popcorn please!
Wanyarwanda si watu mkuu, majizi na wauwaji wakubwa....hawafai hata kidogo...
Umenichekesha san mkuu, hujawahi kumfahamu kabisa. Duuu!!kilamaost: 27956993 said:Hiyo picha ya Kagame yupo na mzungu gani huyo? Sura ya huyo mzungu sio ngeni