The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Hayo yote ni kwa msaada wa hao hao mabeberu na ndiyo maana unakuta bajeti ya serikali lazima kuwepo na beberu aliyekutawala hama kikombe kinaenda kwa beberu yoyote ili ajazie, 😔!!.
 
Jf kuna vilaza pia
 
Tayari mr slim ameshafanya yake nini mkuu?
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hayo yote ni kwa msaada wa hao hao mabeberu na ndiyo maana unakuta bajeti ya serikali lazima kuwepo na beberu aliyekutawala hama kikombe kinaenda kwa beberu yoyote ili ajazie, 😔!!.

Wanajipendekeza na kulazimisha hiyo Misaada yao, baadhi tu ya sababu hizo ni kama;

1.ili tusije dai fidia yeyote kama matokeo ya utumwa, na Ukoloni.

2.na ili tujione duni hatuwezi ktk nyanja zote. km wewe unavoamini.

3.tuendelee kuwa na uchumi tegemezi vizazi hadi vizazi.

4.kudumaza ubunifu.

5.Kukuchangia bajeti yako, na misaada siyo kwamba wanakupenda sana, bali ni silaha hatari mno kuliko bomu la Nuclear. ichukulie km bomu linalo lipuliwa chumbani kwako, ni waafrica wachache sana tuliojaliwa kuitambua hatari hii

6.kuendelea kutu kopesha kadri ya mahitaji yetu ya Maendeleo. wakati Dhahabu wanachukua, Almas, Mafuta na tunaambulia kiducuuchu, sasa wewe kama Rais kohoa uone. ma chimbo ya Mwadui tu yanatosha kutoa magari mawili ya Ford Rangers na kula vizuri kwa nusu ya Watanzania, yaani watu million 30

.
wanajua fika kuwa wakituacha tu. na njaa zetu tuta fika mbali ni usipime. ili kutudhibiti wanaweka mapandikizi ya waafrica vibaraka kandamizi, ili tudhoofike waendelee kutunyonya, na kututawala, kwa kushangilia msaada wa bajeti fake.
Watu kama Savimbi, Mobutu, Alfonso Dhlakama nk. walitumika tu kwa maslahi ya Mabepari, mwishowe wakawatupilia mbali ka makapi, tena kwa dharau sana.

Viongozi wa kia frica walio jitokeza hadharani kupinga vitendo vyao kwa nguvu zote, na kukataa suala la bajeti tegemezi na wakainua nchi zao, kwa uaminifu waliuawa kikatili mno, tena bila sababu, au walibanwa mbavu kama Zimbabwe ya leo,
viongozi wa weusi mfano; Marcom x, Martn Luther, p. Lumumba, Samora, Gaddafi, Murtala mohamad, Dr Steve Bikko nk. waliuawa sababu hiyo. nina mengi but.......
 
wanajua fika kuwa wakituacha tu. na njaa zetu tuta fika mbali ni usipime. ili kutudhibiti wanaweka mapandikizi ya waafrica vibaraka kandamizi, ili tudhoofike waendelee kutunyonya, na kututawala, kwa kushangilia msaada wa bajeti fake.
Nini kifanyike ili mageuzi yafanyike kwa hawa waafrika?
 

  1. Nilikuwa najiuliza,Habibu B.Anga ni nani tena! Mbona anaandika km the bold!?? Kumbe ndo yeye! Naona mzee umetag member wote kasoro mm tu...!! Lkn usijali...nasubiri madini mkuu!!
    Aksante san comrade na nimekufatilia kwa muda sana naomba unitag mkuu
 
Weee jamaa hebu hiyo comment yako iongezee vitu vichache na baada ya hapo,nakuomba uigeuze ili iwe thread inayojitegemea.
 
napanua "ubongo"...
Asante
 
Hii nyuzi sio ya kusoma nikiwa nayumba yumba. Naipa siku ya leo mchana naiamkia asubuhi mapema. Asante Habibu
 
Nini kifanyike ili mageuzi yafanyike kwa hawa waafrika?
Tujue chanzo cha tatizo letu kwanza! then tuwapuuze, tuwe wamoja Waafrica wote Duniani! kwa kile kidogo tulicho nacho! tupeane na kukiendeleza, tuwaseme sana pale inapobidi km kitendo alichofanyiwa Mmarecan mweusi George Floyd tumekuwa pamoja safari hii na wametikisika.

Wanavochukua Mali zetu, na wanatutengenezea uadui miongoni mwetu, dhiki na shida ili hatimaye kutuletea silaha tupigane, tuuuane, ili tusidhalishe mali, Ukweli ni kuwa tupaze sauti kwa pamoja, tuwalaumu, na kuwalaani kwa matendo yao' tuwazodoe Yaani siraha ya maneno tu zitatuweka sawa.
 
Habibu B. Anga
Samahani naomba nitoke nje ya mada kidogo!
Nawezaje kutengeneza hypertext links hapa JF, kama hizo za kwako hapo juu zenye maandiko "sehemu ya kwanza bofya hapa"?
 
ni zaidi ya mwaka Sasa, ni Nini kilitokea huu Uzi haukumaliziwa? Mkuu Habib
 
Wewe ya kwako yenye substance ni yapi?? Haya uliyobwabwsja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…