This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Na bado nn Sasa.Na bado
Huyo dogo wako ndio kichwa maji. Kwa nini asifanye vitu anavyovijua vizuri?Wameshatapeli wengi Sana. Watu wanalipia na mkeka hawatoi. Wanachofanya kila ukilipia wataleta gharama mpya Hadi uchoke ukimbie.
Nina dogo wangu anasoma chuo X wamempiga laki na ishirini.
View attachment 2698113
Hizi pesa huwa mnaokota au huwa mnapataje pesa za kutowa sadaka ya hivi?Hiyo ndogo sana kuna jamaa niko nae mtaa mmoja alikaza fuvu kuhusu hao jamaa mwisho alipigwa millioni 3 na pointi zake.