ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sekta ya Utalii imerejea tena kuwa Kinara wa kuingiza Fedha nyingi za Kigeni Kufuatia kuporomoka kwake miaka 4 iliyopita.
Kwa kipindi chote hicho sekta ya Madini hasa dhahabu ndio ilikuwa inaiokoa Nchi kwenye Suala la Fedha za kigeni.
Kurejea Kwa Utalii ni ushahidi na Ushindi mkubwa Kwa The Royal tour ya Rais Samia ilivyochangia kufufuka sekta hii.
Kwa Sasa huko Arusha Utalii ni 🔥🔥 na pesa zinamiminika Kufuatia Mafuriko ya Watalii.
Mwisho zifanyike Roya tour zingine ila this time ziwahusishe watu mashuhiri zaidi.
View: https://www.instagram.com/p/CxFlr6joVlm/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Kwa kipindi chote hicho sekta ya Madini hasa dhahabu ndio ilikuwa inaiokoa Nchi kwenye Suala la Fedha za kigeni.
Kurejea Kwa Utalii ni ushahidi na Ushindi mkubwa Kwa The Royal tour ya Rais Samia ilivyochangia kufufuka sekta hii.
Kwa Sasa huko Arusha Utalii ni 🔥🔥 na pesa zinamiminika Kufuatia Mafuriko ya Watalii.
Mwisho zifanyike Roya tour zingine ila this time ziwahusishe watu mashuhiri zaidi.
View: https://www.instagram.com/p/CxFlr6joVlm/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==