The Second Languages Of Every Part Of The World

Kibanga Ampiga Mkoloni

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2007
Posts
18,772
Reaction score
8,939
The website MoveHub.com is a resource for people looking to move abroad.
They've released this eye-opening infographic that shows the second language of every region across the globe. Some are rather predictable, such as Canada's knowledge of French.
But others are very telling about the histories of certain regions and how our global story has played out over hundreds of years.
Take a look at what they've compiled:



Courtesy of MoveHub
 
Naona Kenya ni Kiswahili, Na Tanzania ni Kiunguja, Je kuna mtu anakijua hiki kiunguja?
 
Naona Kenya ni Kiswahili, Na Tanzania ni Kiunguja, Je kuna mtu anakijua hiki kiunguja?
Kuna kitu kwenye ubongo wangu kinaniambia kwamba hiyo ramani ya lugha
Afrika Mashariki ilichorwa kwa kutumia wakenya.(Kenya wamejitangaza sana kwamba wao ni taifa la kiswahili) Kwa hiyo wameweka kiswahili kenya na kiunguja tanzania. Kwa kweli kiunguja mimi sikijui ila najua ni lahaja ya kiswahili iliyokuwa inazungumzwa Zanzibar na ndiyo lahaja iliyosanifiwa na wakoloni kuwa kiswahili rasmi.
 

Basi Mkuu SHIEKA inaonekaan ni kweli na wapo sahihi kuwa kwa kenya Number moja ni English mbili Kiswahili na Kwa Tanzania number moja ni Kiswahili , mbili ni Kiunguja.
 
Last edited by a moderator:
Basi Mkuu SHIEKA inaonekaan ni kweli na wapo sahihi kuwa kwa kenya Number moja ni English mbili Kiswahili na Kwa Tanzania number moja ni Kiswahili , mbili ni Kiunguja.
Kibanga umeibukia huku maana ulipotea sana lile jukwaa letu
Hii ramani ina makosa mengi sana na usitake kuiamini

  1. angalia Ramani ya Italy - eti wao hazungumzi Kitaliano bali Kiingereza (English)
  2. Huko ajentina na Chile =eti ndio Kitaliano kimelala huko
  3. Marekani na Canada wao Kifaransa na Kihispania (wakati ni uongo USA official Language ni English kwa kila kitu)
  4. kwa angola amesema ni KiBantu zaidi
  5. Angola ni Kisandawe wakati angetaja hata hapa Dodoma km asili yake
 
Ukwaju

Mkuu mimi nipo kotekote, ila ukinihitaji huko we niite na nitakuja kwani hapa ni Junguuu kuu halikosi ....

Back kwenye mada naona hujaistukia vizuri, hii rmaani haizungumzii first language inazungumzia second language na ndio maana Kenya ikasemwa first ni English na second ni Swahili.
 
Last edited by a moderator:
km ni hivyo mm ndio nimepotea nikijua Kenya 1st language ni Mother tongue
  1. Kiluo, Kikuyu, Kitaita nk
  2. Kiswahili
  3. Kiingereza
nimejaribu kufuatilia Link zao bado sijawaelewa
na kwa vile ni Jungu kuu acha tumeze yanayomezeka
 

Hawajasema first ni ipi, ila tu "Niger-Congo." Hizo ni lugha za kibantu. Kiingereza ni lugha ya tatu kwa wakenya wengi. Hata kwa watanzania, Kiswahili si lugha ya kwanza. Hi ndio sababu utapata huku JF watu wakisema tafazali, nazani, nilitoloka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…