The so called 'GOD' from religions


You are allowed to believe in anything. As long as you don't preach to us that what you believe is the sole truth, you have a right to believe without challenge. Belief is rather pedestrian.

Having said that, believing in things you do not understand is prone to believing in untruths.

If I tell you that I am god and give me all your money, for the rest of your life, if you do not, I will punish you in hell, will you give me all your money for the rest of your life just so you do not face the possibility of being punished in hell?
 
Kuna kitu hujaelewa...

Haya maelezo uliyoweka hapa ni kwa mujibu wa kile ambacho tunajua kuhusu uwezekano wa kurudi nyuma kwa muda.....

Haya maelezo yanaweza kuwa ni kutokana na uwezo wetu wa kufukiri kwa sasa au ni kutokana na maendeleo ya kisayansi tuliyonayo sasa kuishia hapo,vipi kama baadae au hata kesho kukaja kupatikana namna nyingine ya kutuwezesha kurudi nyuma kwa muda?

Je unawezaje kuthibitisha kwamba hili haliwezekani kutokea baada ya miaka 100 ijayo au hata 1000 ijayo?

Kanuni rahisi sana ya Quantum physics inasema "kila kitu kinawezekana' au "kina uwezo wa kuwezekana"....

Je huoni kuwa unakwenda kinyjme na kanuni hii?
Je unaweza kuthibitisha kuwa haiwezekani hili nililokuuliza?
 
Jibu la swali lako mbona lipo katika ulichonukuu?

Nimekupa nafasi ya kuonyesha kwamba kurudi nyuma katika muda, unaweza juni prove wrong.

Ukisema sijajua kwamba miaka 100 au 1000 ijayo tutaweza kurudi nyuma katika muda hivyo kusema hatuwezi kurudi nyuma katika muda si sahihi, na mimi naweza kukwambia kwamba miaka 100 au 1000 ijayo tunaweza kugundua kwamba mungu hayupo definitively na kwa hiyo mnaosema mungu yupo mmekosea.

Huwezi kuacha kuamua kwa kutumia logic leo kwa sababu hujui kitakachotokea kesho.

Utashindwa kuamua chochote na habari yoyote ya kufikiri haitaweza kumalizwa.
 
Jibu la swali lako mbona lipo katika ulichonukuu?

Nimekupa nafasi ya kuonyesha kwamba kurudi nyuma katika muda, unaweza juni prove wrong.
Bado huelewi....

Sijasema kwamba chochote kinaweza kutokea kuhusu suala la muda isipokuwa nimekuuliza wewe baada ya kudai kuwa HAIWEZEKANI kurudi nyuma kwa muda kana kwamba watu wameishia hapo kufikiria na hakuna kipya kitakachokuja kugunduliwa tena

Hii inamaana kuwa umejenga hoja kwenye dhana na sio kitu halisi na kama ni kitu halisi thibitisha hapa
Uko sahihi kwasababu "inawezekana" kwasababu watu bado wanafikiria na ugunduzi mpya unatokea kila siku na pia inaweza kuwa kinyume na hili ulilolisema hapa sawasawa na ambavyo inaweza kuwa kinyume na kile nilichokisema mimi kuhusu kurudi nyuma kwa muda

Kama hili linawezekana hioja yako inajifia yenyewe kwasababu tayari inakuwa haina maana kwakuwa inaweza kuwa sio kuwa haiwezekani bali inawezekana ikawezekana
Huwezi kuacha kuamua kwa kutumia logic leo kwa sababu hujui kitakachotokea kesho.

Utashindwa kuamua chochote na habari yoyote ya kufikiri haitaweza kumalizwa.
Hapana sio kila kitu unaweza kufikiria na kutoa maamuzi kama unavyotaka wewe kufanya hapa...

Huawezi kusema Ukimwi hauna dawa bila kusema kwa usahihi kuwa "mpaka leo ukimwi hauna dawa",ukisema kuwa "ukimwi hauna dawa" unapaswa uthibitishe kuwa kwa maisha yote ya binadamu hapa duniani hatakuja kupata dawa ya ukimwi

Kwa mambo ambayo bado yapo yanafanyiwa uchunguzi hatuwezi kuyatolea maamuzi kwakuwa hatujahitimisha kwa kupata matokeo.

Tunatumia logic kuamu kwa hekima kwa kutofautisha jambo moja hadi lingine na sio kuamua tu kwa kuyajumlisha mambo yote bila kuyatofautisha kuwa hili tumeshalimaliza na hili bado tunaendelea kulifanyia utafiti....
 

Unaweza kuthibitisha kwamba inawezekana kurudi nyuma katika muda?
 

God is a prop - support to account for the unknown for some. It is an idea of an entity that is all pervasive - capable of doing any thing. For some He is where Jesus Christ said He is. For some He is where Prophet Mohammed said He is. For some He is in air, water, ether, fire, earth; you name it He is there - every where.

For some He is in the Self and for some He is not. For those for whom He also is in Self, He is the doer and witness of all actions. Self is responsible for all actions and cause of all effects of actions. Some prefer to term Self as Soul. Soul is defined to be indestructible as also God. It is the nature of any individual - Self - to be happy, true to oneself and loving. These characteristics are enthalpic attributes of God and the reverse are antropic. Soul always has choice to decide whether to build or to break in chain of actions. Shreemad Bhagwad Gita is a book where there is discussion on this Soul.

It discusses the limitations of human thought and the way to attaining the best possible level of human thought on Self and God. In essence it says you reap as you sow but that your Self if conscious of its identity as Soul, one with God, will make you a better person. Religions as Christianity and Islam are dogmatic with God far away. Sanatan Vedic Dharma, also known as Hindu Religion is open ended with God entity to be experienced within.
 
I am God worship me..........
when was God conceived?
Who is the mother of Jesus or God is a Hermaphrodite?
I think am God so worship me.
 
what did Satan do to you that God hasn't ?
 
Hahaha u Idol worshiper need to wake up..this is beyond stupidity.
 
I am God worship me..........
when was God conceived?
Who is the mother of Jesus or God is a Hermaphrodite?
I think am God so worship me.
Are you Atheist?

Do you know that,strong atheism does not actually exist?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…