The software does not match the phone (oppo A57)

The software does not match the phone (oppo A57)

WIMICKY

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2011
Posts
1,428
Reaction score
1,571
Habari wana jamvi,

Nina simu aina ya oppo 57 imetoa changamoto haimalizi kuwaka yaani inafika eneo la logo, nikamuulizia jamaa yangu ambaye kidogo hivi vitu anavifahamu yupo eneo tofauti na ninaloishi akanishauri niweke faili lingine nakapakua mtandaoni.

Changamoto ikaja wenye kuliweka kila nikijaribu simu ikwa port haisomi nakaambiwa nitafute msdownlad tool craked nikafanya hivo ilipoanza kulipakua faili ikatoa ujumbe (the sofware does not match phone oppo A57).

Basi nikaitoa baada ya muda nikawa na jaribu kuirudia nikakuta haisomi kumbe ilikuwa imeisha chaji nimejaribu kuchaji kawaida haichaji nimejaribu kuwasha haiwaki nikipachika kwenye pc inatoa ujumbe (usb not regonize), naombeni msaada wataaalamu.
 
Habari wana jamvi,

Nina simu aina ya oppo 57 imetoa changamoto haimalizi kuwaka yaani inafika eneo la logo, nikamuulizia jamaa yangu ambaye kidogo hivi vitu anavifahamu yupo eneo tofauti na ninaloishi akanishauri niweke faili lingine nakapakua mtandaoni.

Changamoto ikaja wenye kuliweka kila nikijaribu simu ikwa port haisomi nakaambiwa nitafute msdownlad tool craked nikafanya hivo ilipoanza kulipakua faili ikatoa ujumbe (the sofware does not match phone oppo A57).

Basi nikaitoa baada ya muda nikawa na jaribu kuirudia nikakuta haisomi kumbe ilikuwa imeisha chaji nimejaribu kuchaji kawaida haichaji nimejaribu kuwasha haiwaki nikipachika kwenye pc inatoa ujumbe (usb not regonize), naombeni msaada wataaalamu.
Ili kupata firmware sahihi ya simu yako angalia model no zinazoanzia na cphxxx ndo undownload file la muundo huo.
 
Issue ya refurb huwa wanabadili model.

Mfano simu ililokiwa na Mtandao wa china na ni model ya China wajanja wanachakachua ile rom ya China inasoma kama Global.

Wewe unaponunua unahisi ni global, likitokea tatizo ukiflash na Global rom simu ina Brick sababu umeweka rom ambayo sio yake.

Kwa Samsung kujua Exactly model ya simu huwa tunaingia download mode sijafahamu kwa Oppo wanatumia trick gani, wenye uzoefu watakuja kusaidia hapa.

Ukishajua model halisi ndio udownload rom husika.
 
Issue ya refurb huwa wanabadili model.

Mfano simu ililokiwa na Mtandao wa china na ni model ya China wajanja wanachakachua ile rom ya China inasoma kama Global.

Wewe unaponunua unahisi ni global, likitokea tatizo ukiflash na Global rom simu ina Brick sababu umeweka rom ambayo sio yake.

Kwa Samsung kujua Exactly model ya simu huwa tunaingia download mode sijafahamu kwa Oppo wanatumia trick gani, wenye uzoefu watakuja kusaidia hapa.

Ukishajua model halisi ndio udownload rom husika.
Kwa oppo una bonyeza *#899# unachagua sehemu ya software information utakuta model inaanza na CPH, RMX, kwa internation models ila kwa china models mpya utakuta tofauti.

Kwa vivo phone hasa qcom kupata model halisi na kwa asilimia 100 ni kwa njia ya fastboot.

Hizi simu upande wa software zinatofautishwa kwa product model na siyo phone model. Mfano oppo a57 product name ni cph1701 ila kuna oppo a57 model mpya ina product name tofauti.
 
Kwa oppo una bonyeza *#899# unachagua sehemu ya software information utakuta model inaanza na CPH, RMX, kwa internation models ila kwa china models mpya utakuta tofauti.

Kwa vivo phone hasa qcom kupata model halisi na kwa asilimia 100 ni kwa njia ya fastboot.

Hizi simu upande wa software zinatofautishwa kwa product model na siyo phone model. Mfano oppo a57 product name ni cph1701 ila kuna oppo a57 model mpya ina product name tofauti.
Simu iliobadilishwa model kwa rom huwezi jua kwa kupiga ussd no. Sina uzoefu sana na hizi oppo na Vivo ila Samsung ama Sony ambayo imechakachuliwa huwezi ijua simu ikiwa on inabidi utumie means nyengine. Yes Fastboot inaweza tambua sababu sio part ya Rom.
 
Simu iliobadilishwa model kwa rom huwezi jua kwa kupiga ussd no. Sina uzoefu sana na hizi oppo na Vivo ila Samsung ama Sony ambayo imechakachuliwa huwezi ijua simu ikiwa on inabidi utumie means nyengine. Yes Fastboot inaweza tambua sababu sio part ya Rom.
Kwa oppo iko hivyo, ila samsung kama haujaedit modem baseband huwa inaonyesha model halisi. Ila download mode ndo model halisi utaona maana siyo rahisi kuedit bootloader files (Sboot).
 
Habari wana jamvi,

Nina simu aina ya oppo 57 imetoa changamoto haimalizi kuwaka yaani inafika eneo la logo, nikamuulizia jamaa yangu ambaye kidogo hivi vitu anavifahamu yupo eneo tofauti na ninaloishi akanishauri niweke faili lingine nakapakua mtandaoni.

Changamoto ikaja wenye kuliweka kila nikijaribu simu ikwa port haisomi nakaambiwa nitafute msdownlad tool craked nikafanya hivo ilipoanza kulipakua faili ikatoa ujumbe (the sofware does not match phone oppo A57).

Basi nikaitoa baada ya muda nikawa na jaribu kuirudia nikakuta haisomi kumbe ilikuwa imeisha chaji nimejaribu kuchaji kawaida haichaji nimejaribu kuwasha haiwaki nikipachika kwenye pc inatoa ujumbe (usb not regonize), naombeni msaada wataaalamu.
Ni refurbs za China hizo zmejaa sana madukani na vijana wengi wanatelemka nazo tu kimseleleko, zina maluelue kama yote yaani..
 
Back
Top Bottom