The Story Behind TAZARA Railway,

game over

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2016
Posts
10,727
Reaction score
24,840
Facts:-
It was due the Relationship between Nyerere and Mao
This is the first Biggest project China Ever implemented Outside China
Over 70 Chinese Lost their lives during the Construction
China offered the Best Technical stuffs they Had
China Was still poor during Construction
Chinese Engineers and Tanzanians walked over 800km in the bushes prior to Construction in 1970,

The Same CCC that Built TAZARA is the Same company that Built Kenya SGR

 
Sasa kama Wachina walifia kwenye mradi wenu ili kuufanikisha, mbona mumewazunguka kwenye SGR na kumfuata Mturuki ambaye had leo sijui amewapeleka wapi.
 
Sasa kama Wachina walifia kwenye mradi wenu ili kuufanikisha, mbona mumewazunguka kwenye SGR na kumfuata Mturuki ambaye had leo sijui amewapeleka wapi.
Mturuki anafanya kazi yake vizur, mm Ni shuhuda,madaraja Ni mengi sana ndio yanayochelewesha project,lakini anakomaa nayo vizur tu...

Apo Ni issue ya mkwanja,China alitaka mkwanja mrefu sana na Uwezo huo haupo
 
Tazama Hiyo Video mama, Natumai utakuja siku ya Uzinduzi. Nitakulipia tiketi hadi Dodoma na tukanywe Mvinyo maeneo ya Chako ni Chako[emoji39]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Noma sana.
 
Ilikuwa ni competitive bid, hakuna anaependelewa wala Kuonewa,

Mturuki anatupeleka huku

Nimeitazama hii video mwanzo hadi mwisho, naona nguzo na zege, nimetamani nione sehemu hata moja iliyokamilika, kumbuka sisi kilomita 500km tayari zinaingiza hela, na safu ya pili tayari imekamilika. Hii yenu kilomita kidogo sana 200km bado naona mpo machimboni.
Njooni mtutambie siku walau mtapiga honi na kungurumisha injini ya kichwa hata kimoja cha kuzuga, na kisiwe kile mlikuja kututambia baada ya kukinywesha gongo/chang'aa hadi kikabinuka, hiki hapa

 
Pesa zinaingia GOK au zinalipia deni kwanza!?
Nasikia wanaoendesha mradi huo ni wachina hivi ni kweli!?
 
Pesa zinaingia GOK au zinalipia deni kwanza!?
Nasikia wanaoendesha mradi huo ni wachina hivi ni kweli!?

Waendeshe Wachina au Wavietnam ila lazima tufikishe reli DRC kupitia Uganda, lazima tuunganishe bahari ya Hindi na ya Atlantic.
Sisi hatuangalii kwa urefu wa pua.
Mchina deni lake atalipwa, na tutazidi kumuagiza atukopeshe zaidi hadi hiki kitu kikamilike kote kote.

Nyie mnaotutambia kujenga kila kitu kwa pesa ya ndani, mbona awamu hii kwa miaka miine tu mumekopa kuzidi awamu zote

 

Tanzania Inajenga Miradi mingi sana Kwa Sasa,
Mingi ni kwa Pesa za Ndani kama
Rufiji Dam -$3bn
SGR Phase $1.9bn
More than 500km Roads under construction including Kimara -Kibaha Superhighway and Morocco -Mwenge Highway.

Na Mikopo ni Kama
SGR Phase 2 -450km over $2.5bn
Ubungo Interchange-$100m
Dar Port Expansion -$150m
BRT Phase 3- $200m
Sarenda Bridge-$120

Etc
 
 
Tazama Hiyo Video mama, Natumai utakuja siku ya Uzinduzi. Nitakulipia tiketi hadi Dodoma na tukanywe Mvinyo maeneo ya Chako ni Chako[emoji39]
Bullet train noma Sana. Nangoja Sana uzinduzi nikeshe hapa nikicheka.
 
Uongo mkubwa . kwanza Nyerere kawajua Machina na Mao kupitia Abdulrahmna Babu. Babu alikua rafiki wa Mao na Choenlai
Wakati Tazara inataka kujengwa Nyerere akawaomba Marekani ambao ndio walikua marafiki zake..wakakataa kwa sababu haina maslahi kiuchumi. Na walikua right leo Tazara ipo ipo tu.
Wakati Mwalimu hajui atajenga vipi Babu akiwa Waziri Uchumi akaandaa ziara ya kwanza ya Mwalimu China.
Babu akawaeleza Mao na Choe Nlai juu ya Azma ya Tanzania kujenga Reli Tazara na West wamekataa.
Nyerere alipo fika China Ikawa kazi imesha malizwana Babu na wakati wa Hafla ya kitaifa Mao akatangaza kuwa China watajenga Tazara kwa mshangao wa Nyerere kwani hakuwahi kuleta ombi hilo !
 
Ushahidi tafadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…