Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is one among many stories of kenyans making it in Kenya., kuna boda boda riders who also made theirs, also the Optiven guy, I know him personally, na where he was before making it.. etc., so inspiring clip., wasio penda kuona kizuri kenya watapita kimya kimya.,
I like your positive energy., big up man 👍 💪Kama watu wanafanya mazuri wawe kenya au uganda au Tanzania tunatakiwa kuwasupport na kujifunza kutoka kwao huo ndio uungwana, mambo ya hovyo hatutayaunga mkono yafanyike kenya au Tanzania tutayakemea lakini mambo mema ya watu kutengeneza ajira kwa wenzao na naona Wode Maya anajitahidi sana kuexplore inspiring stories ili wengi tujifunze sio kukaa kaa kizembe
Mbona wewe vile ulioona hukuweka ,ulitaka ikuwe a negative story ndio uweze kuipost.Ile ya yule dada mtengeneza viatu mbona hujaweka?
I posted this for inspiration purposes ,I was not interested in impressing you in any way . Kama uko na success stories za kupost ingekuwa vyema upost tuwe inspired kuliko kuleta alot of negativity kwa thread.So u think this impresses us? Kwani huku hakuna watu wenye stori za mafanikio kama hao?
ni moja kati ya mengi.., wewe ulikua unatakaje?Ile ya yule dada mtengeneza viatu mbona hujaweka?
So u think this impresses us? Kwani huku hakuna watu wenye stori za mafanikio kama hao?
Yes the youths of kenya are doing better on fetching reliable opportunities, as I had saw another girl think she is running gjenge company dealing with production of blocks and pavements from plastics and used tyres, thats dope.
Ni wivu na chuki inasumbua watanzania wengi humu, hawataki kuona kizuri cha mwenziwe, haswa Kenya, inawauma kuona any positive from Kenya., characteristics za inferiority complex.,Mbona wewe vile ulioona hukuweka ,ulitaka ikuwe a negative story ndio uweze kuipost.
I posted this for inspiration purposes ,I was not interested in impressing you in any way . Kama uko na success stories za kupost ingekuwa vyema upost tuwe inspired kuliko kuleta alot of negativity kwa thread.