The Tale of two pictures: Whats wrong?

Ni Kweli Edson, maana mzee alivaa nguo za kazi lakani bwana mkubwa ana suti .
 
Tunakwenda na wakati. Enzi za Mwalimu kulikuwa hakuna digital camera😕

Mwalimu alisisitiza kuwa maendeleo ni ya watu na sio vitu. Sawa siku hizi kuna hizo digital cameras wangapi wanamudu kuzinunua? Ndio maana viongozi wa sasa kwa kukosa upeo wa maendeleo , wanasema misululu ya magari mjini Dar ni ishara ya maendeleo wakati mamilioni ya wananchi wanalala na njaa na wakina mama wengi tu wanakufa wakati wa kujifungua!! Hawa tulionao ni watawala na sio viongozi kwani wao wenyewe hawaioni njia kwahiyo tusitegemee kuwa watatuonesha njia!!
 
Mwanakijiji & Companero

...acheni uchokozi jama.......
 
Yes, that's what makes the difference, some are leaders to guide, direct and solve any problems where as others are leaders just to be served by others and not to serve others. Especially their subordinates!
 

I totally agree with you Sir! Hakuna justifications kwamba utofauti wa zama unahusika katika hili la rais mmoja kufanya kituko cha kutandikiwa mkeka wakati akipanda mti na mwingine kufanya jambo la kawaida la kuchanganya udongo kwa mikono yake quite naturally. Mwalimu na Mobutu Sese Seko walikuwa viongozi katika era moja lakini wali-behave tofauti kabisa. Mwalimu alikuwa kiongozi Mwadilifu sana na Mobutu Fisadi wa kutupa katika zama hiyo hiyo moja!
 
Tata,
Dictator si lazima awe litumia Nguvu za Kijehsi kuingia madarakani. Wako wengi waliogeuka Madictator baada ya kuchaguliwa. Pamoja na mapenzi yangu kwa Mwalimu sitakiuka ukweli kuwa Alama za Dictatorship alikuwa nazo!

Jujuman hiyo tafsiri niliyoandika sikuitunga mimi na wala mimi siyo muingereza imeitoa kwenye dictionary ya wenye lugha hiyo na ninadhani kuwa siyo sawa kuchukua neno la kizungu na kulipa tafsiri unayojua wewe mwenyewe. Nielimisha tafsiri ya dictatorship unayoitumia umeitoa wapi?
 
Mwalimu was real and this other guy is an actor tena mkubwa tu.Mungu atusaidia jamaa amalize muda wake tukiwa salama
 
mimi naamini ni advancement ya sciences na technologies ndiyo inayowatofautisha

Mkuu, chepe na mkeka ni technology advancement???
Hivi sini vitu vilikuwepo toka enzi zile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…