We wadanganye mazwazwa wenzako wa Lumumba. Dunia nzima inajua nini kinaendelea uko Visiwani! Jiulize: Bara Kuna Wapiga Kura 29 million Hakuna Tanks na Hakuna Uchaguzi wa Awali!
Zanzibar kuna Wapiga Kura 400,000+ lakini JWTZ na Tanks wamejazana huko na Uchaguzi ni 2 days( 27/10~28/10)!!
What's so special there?