Zanzibar 2020 The Telegraph: Tanks sent to tourist island of Zanzibar as Tanzania's strongman leader eyes indefinite rule

We wadanganye mazwazwa wenzako wa Lumumba. Dunia nzima inajua nini kinaendelea uko Visiwani! Jiulize: Bara Kuna Wapiga Kura 29 million Hakuna Tanks na Hakuna Uchaguzi wa Awali!
Zanzibar kuna Wapiga Kura 400,000+ lakini JWTZ na Tanks wamejazana huko na Uchaguzi ni 2 days( 27/10~28/10)!!
What's so special there?
 
Zanzibar hizo tanks ni kawaida Sana toka1995 wewe hukuwepo hazina shida ndo taratibu zetu huko Wala hazikudhuru wewe mmbara uliyoko znz usiogope waznz wenyewe. Wamezoeya kuziona. Wakati wa uchaguzi

Amka. Nenda. Kapige kuru usiogope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…