The Tiger Woods Saga and beyond

Gee! Jana wakati hii habari ilipokuwa ni Breaking News ulikuwa unalijua hili la kugonga Fire Hydrant!? 😕

Ndiyo nilikuwa najua kuwa amegonga fire hydrant (ukisoma post yangu ya kwanza kwenye hii thread ilikuwa zaidi ya masaa 12 baada ya ajali kutokea). Yani mtu maarufu mweusi asipatwe na kitu ata kama ni kwa uzembe wake lazima kutakuwa na kuna mkono wa wazungu, hao wazungu wakija kukuomba ushahidi utautoa?
 
Hell has no wrath like a woman scorned! Making a honourable retreat in SUV was best option even for a champion Golfer.Siku njema wana JF.
 


Ha ha ha ha eti nitoe ushahidi!!! 🙂 LOL! Basi hao polisi au Wazungu watakuwa na kazi ya kupitia bloggers mbali mbali ambao walikuwa wanaspeculate mambo mbali mbali kuhusiana na ajali hiyo ya TW. Mpaka sasa hivi bado ni speculation tu kwamba ajali hiyo ilisababishwa na nini mpaka hapo TW na mkewe watakapoamua kuongea kama wakiamua kufanya hivyo.

Wanasheria wengine wanadai TW hana obligation ya kujibu swali lolote lile la polisi zaido ya kuwaonyesha ana genuine driver's licence.

Pitia web sites mbali mbali uone ile Ijumaa watu walikuwa wanaandika nini kuhusiana na ajali hiyo kabla haijajulikana kwamba ilikuwa ni single car accident.
 

Wacha longo longo, wanasheria ndio wanaodai hivyo au ni sheria za State ya Florida (na states nyingine 5th Amendment ). Kwenye hii ajali (gari moja na hakuna mtu aliyekufa) polisi wataomba leseni, bima na kadi ya usajili ya gari.

Hizi issue za ubaguzi zinafunika uwezo wa watu wengi wa kufikiri.
 
Hii mbona ni ajali tu ya kawaida, sometimes viajali kama hivi huwa vinatutokea............kwa kuwa Tiger Woods celebrity basi imekuwa nongwa.
 
Hii mbona ni ajali tu ya kawaida, sometimes viajali kama hivi huwa vinatutokea............kwa kuwa Tiger Woods celebrity basi imekuwa nongwa.

No, Tiger Woods kapata ajali kwa sababu ya ubaguzi wa wadhungu wa Marekani!
 
Habari ni kwamba, Baada ya mkewe kuweka a private investgater ku mmonitor mumewe na kugundua kua huwa ana chat kwenye gay website moja ,so Mkewe aka mfuta na kumpa ushahidi wote ,Tigger akawa hana jibu so akaanza ku pandisha hasiria kumtisha mkewe , ndio mkewe akaingia kwenye sports room na kuchukua golf club na kuanza kumkimbiza mumewe!

So Tigger alikua anamkimbia mkewe ambaye alikua ameshika golf club , ili ambaruze nayo , huku Tiger akitoka baruti ,kuingia ndani ya gari na kuwasha NA KUONDOKA kwa SPEED YA 120 , NDIPO mkewe akarusha ile golf club na kuvunja dirisha na Tiger ku panic na ku lost control ya gari na ku gonga hiyo fire Hydrant na kuuvaa mti. habari ndio hiyo!
 
....Tumwache jamaa atatue matatizo yake mwenyewe. Ajali hii imetokea nyumbani kwake na hatakiwi kisheria kutoa maelezo kuhusu nini kilichopeleka yeye kupata ajali....Let us give these guys the space to sortout their demons...
 
Lady D alipopata ajali pale Paris watu wengi walikuwa wanaspeculate mambo chungu nzima ambayo labda yalisababisha ile ajali likiwemo la kuuwawa kwa makusudi lakini ionyeshwe kama ilikuwa ajali hadi hii leo badi kuna watu chungu nzima duniani wanaamini Lady D aliuwawa. Na ukweli wa kifo cha Lady D anaujua Mungu tu na wahusika kama wapo ambao waliamua kuchukua maisha yake kwa njia moja au nyingine.

Hivyo hivyo baada ta breaking news za ajali ya TW watu chungu nzima walikuwa wanaspecualte vitu mbali mbali kuhusiana na ajali hiyo kabla haijajulika ilikuwa ni single car accident. BAK naye alispeculate nini kinaweza kuwa chanzo cha ajali hiyo kabla ya kufahamu kwamba ilikuwa ni single car accident.Sasa kuna njemba zinataka BAK atoe ushahidi eti kwa speculate!!!! LOL! basi mamilioni ya watu duniani ambao nao kama BAK walispecualte chanzo cha ajali ile nao watatakiwa watoe ushahidi! ha ha ha ha....LOL!

Kazi kweli kweli kama tutatakiwa kutoa ushahidi kwa speculate vitu ambavyo facts zake zote hazijajulikana na wakosaji watakuwa wengi sana. Hata walioitwa CNN kuja kuzungumzia ajali hiyo na kwingineko nao pia walifanya hivyo wengine wakidai kwamba labda alikuwa amekunywa kumbe jamaa hata kinywaji hagusi hawa wote nao wakatoe ushahidi kwa kuspeculate...Ha ha ha ha ha kazi kweli kweli!!!


Ukweli wa nini kilichojiri na kusababisha ajali ile labda hautajulikana kamwe utabaki ni siri ya Mr & Mrs TW na Mungu wao kama wakiamua kutosema chochote kuhusiana na ajali ile yakayosemwa yote yatakuwa ni speculation tu ambazo hazina kichwa wala miguu. Tutachokachojua ni kwamba aligonga fire hydrant na baadaye mti na si zaidi ya hayo.

I am enjoying the remainder of my weekend, ready to watch Soul Train Awards at 9.00pm ET.
 
Tatizo lako wewe Bubu uko lijinga sana. Wewe kila unapopata nafasi ya kuspeculate jambo na kama jambo lenyewe linahusisha mtu chotara au mweusi basi wewe unakimbilia ku-speculate ubaguzi. Wewe kila kitu ubaguzi ubaguzi ad infinitum!

Oooh wazungu hawapendi kumwona Tiger Woods akifanikiwa. Wakati huo huo wazungu hao hao wanampa endorsement deals za $100,000,000.000 kwa mwaka. Uko lijinga sana wewe.
 

Alafu BAK usitake kutufanya mahayawani ebo!!

Ukisoma post yako ya kwanza kwenye hii thread Post #8 kwenye story highlight wameandika kabisa kuwa aligonga fire hydrant then mti, dakika tatu baada ya kupaste hiyo habari ukauliza kama ni ajali kweli au kuna mikono ya watu?, post #9

Nilivyokuuliza kama uko serious na icho ulichoandika ukanitwanga na hili jibu,
 
Matusi pia nayaweza, but I am not going to follow you on that path. Utabadilisha majina kila kukicha ili kuficha wewe ni nani lakini tunaokujua tunajua wewe ni mtu wa aina gani. Mwenyezi Mungu akuzidishie kwa lugha yako chafu.
 
Matusi pia nayaweza, but I am not going to follow you on that path. Utabadilisha majina kila kukicha ili kuficha wewe ni nani lakini tunaokujua tunajua wewe ni mtu wa aina gani. Mwenyezi Mungu akuzidishie kwa lugha yako chafu.

Stupid sio tusi. Na sijabadilisha jina ili msinijue mimi ni nani. Nimebadilisha jina na kubakiza avatar...sasa nibadilishe jina halafu niache avatar na signature ile ile halafu wewe udai nimebadilisha jina ili nifiche mimi ni nani? You've just proved my point on how stupid you are!! You are stupid. Stupid Bubu.
 
Kama stupid siyo tusi kamwambie baba yako stupid halafu ujaribu kumconvince kwamba stupid siyo tusi. Anyway, Never argue with a fool, people might not know the difference, that is my motto when it comes to you.
 
Kama stupid siyo tusi kamwambie baba yako stupid halafu ujaribu kumconvince kwamba stupid siyo tusi. Anyway, Never argue with a fool, people might not know the difference, that is my motto when it comes to you.

Baba 'angu haongei vitu vya kijinga jinga na kwa kukurupuka kurupuka kaa wewe. Wewe ni mjinga=stupid!
 
Rachel Uchitel, Tiger Woods' alleged mistress, arrived in Los Angeles today and was greeted by her lawyer, Gloria Allred. Rumors emerged last week that Uchitel and Woods were having an affair, and speculation has increased after Woods was involved in a car accident. Uchitel has denied the affair.







 

hii ya kwako sasa loh ...
 
Tanzania...au hujaexperience hio?


Huko hakuna amani, bunduki zinarindima kila leo; malbino wanachinjwa kama mbuzi na sasa sikukuu zinakaribia majambazi yataanza kufanya vitu vyao wakati muungwana yuko vacation majuu anakula kuku kwa mrija!! Hakuna nchi nzuri kama hii bwana.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…