Heaven Sent hivi hii crisis huwa inachukua muda gani?
Nitunuku kwanza mimi mzaa chema kajumba na kagari, then mtatunukiana huko mbele ya safari.Mwite aje bana kuna kajumba ka urithi nimtunuku sio mbaya akiwa anaenda kuchukua chukua kodi kila mwez
Teh ni kama uteja tuHeaven Sent hivi hii crisis huwa inachukua muda gani?
nije lini mpendwaMwite aje bana kuna kajumba ka urithi nimtunuku sio mbaya akiwa anaenda kuchukua chukua kodi kila mwez
Kwa hiyo tulichokuwa tunaongea umeahirisha! !!
Hahaha....haya endelea naye
Sifa yake kila mstari taja jina la bwana yesu kristo sema amen. ...